-->

Jokate: Sasa Nawaza Noti Tu

MWANAMITINDO Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa, misukosuko aliyokumbana nayo kwenye maisha ya kimapenzi imetosha kwani kama ni maumivu ameshayaonja na sasa hakuna anachowaza zaidi ya kujirundikia noti kwa kufanya kazi kwa nguvu.

Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’

Akizungumza na Akizungumza Ijumaa, Jokate ambaye pia ni Kaimu Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) alisema: “Zamani nilidhani ukiwa mrembo huwezi kuumizwa na mapenzi, lakini ukweli ni kwamba iko hivyo na kwa hapa nilipofi kia, imetosha.

Kwa sasa nawaza zaidi kutengeneza fedha pamoja na Kwa sasa nawaza zaidi kutengeneza fedha kuzungumza na watu, hususan wanafunzi kwa kuwatia nguvu na maarifa ya jinsi ya kujipatia fedha. “Kupitia nembo yangu ya Kidoti, tayari nimeanza kuzungumza na wanafunzi vyuoni na maeneo mengine. Unajua umri umekwenda na maisha hayasubiri, nimeiweka akili yangu yote kwenye kupambana na maisha.”

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364