-->

Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina

Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.

10661050_464736387045632_291073524_n

Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:

Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu mwingine yoyote zilipigwa kwenye meza yangu by the time amekuja kunisalimia,Na sio mm tu niliyepiga nae picha NI watu wengi.

Kuhusu issue yake Na whoever called Gigy me cjui Coz hata sikuwepo wakati wanapigana picha zao…Kwahyo mni exclude kwenye hyo issue Yao Nilikuwa najua akili Za watu wengi NDO maana hata sikuthubutu kupost picha yangu Na Tekno B4 this issue Mnachotakiwa kujua….nilienda kwenye show as a fan n nothing else [blush] Na NDO maana hata Post alopost Na mm ka post Kwa heshma Na Taadhima Hakuna Mahusiano Mengine zaidi ya Hapo hata Tekno anajua….au Kama kuna mtu ana picha yangu Na Tekno yenye Utata nje ya eneo la show yake Anisaidie hapa sshv..!

Hebu jaribuni Kuwa mnaongelea vitu mnavyovijua Kwa kina Na sio kunganisha unganisha tu..! Sijaeleza maelezo mengi kwaajili ya KIMA yoyote alosema/kusambaza habari uongo…nijieleza ili wale wachache wenye akili zao wasiendelee kupotoshwa…. Gotta Sleep wth Bae now… #InstagrambilaLuluInawezekana

 

916480_173137656377522_1268052687_n

 Bongo5.

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364