-->

Kalambati lobo ya JB Kuonyeshwa Leo Sibuka ...

Post Image

Zikiwa zimebaki saa chache tu wapenzi wa filamu za kitanzania kushuhudia kwa mara ya kwanza filamu kubwa ya Kalambati lobo,kutoka kwa msanii grade 1 bongo movie JB ikioneshwa kwenye channel bora ya filamu Tanzania Sibuka Maisha channel namba 111 kwenye startimes leo saa 3 usiku. Tumewasogezea picha za Jb akila dinner na washindi walioshindwa swali […]

Read More..

Baba Levo ni Mazinguaji – Msechu

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa kwa mtazamo wake, msanii Baba Levo ambaye kwa sasa ni Diwani, ni kati ya wasanii wazinguaji ambao wanatapatapa. Peter Msechu alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa ngaz’ kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwa kuwa Baba Levo ni msanii mzinguaji ndiyo maana ameamua […]

Read More..

GK: Sifanyi Show Chini ya Milioni 30

Post Image

Msanii aliyekuwa anaimba hip hop na kuamua kuingia kwenye Bongo flava, King Crazy GK amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hataki tena show ambazo hatalipwa fedha chini ya milioni 30. Crazy Gk ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Mzuri Pesa’ aliyoifanya kwa kuimba amezungumza na eNewz na kusema kuwa kwa sasa mtu […]

Read More..

Dayna Nyange: Nalitamani Penzi La Idris

Post Image

NAAM ni siku nyingine tena tumekutana katika kona yetu hii ya Mtu Kati. Baada ya wiki iliyopita katika kona hii kuwaletea msanii kutoka Bongo Muvi, Ester Kiama leo tumegeukia kwa upande wa Muziki wa Bongo Fleva na kumpata Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’. Dayna ni mmoja wa mastaa wa kike Bongo aliyejipatia umaarufu kupitia ngoma kibao […]

Read More..

Tetesi za Harmonize na Raymond Kuvimbiana,M...

Post Image

Meneja anayewasimamia wasanii wa WCB wakiwemo Harmonize na Raymond, Ricardo Momo, amekanusha tetesi kuwa mafahari hao wamekuwa wakivimbiana na kwamba kila mmoja anajiona bora. Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Supa Mega cha Kings FM ya Njombe, Prince Ramalove, Ricardo amedai kuwa wawili hao wanaishi kwa upendo mkubwa. “Hayo ni maneno tu, sisi tunaishi kama […]

Read More..

Dhamira Ndiyo Siri ya Kuacha Madawa-Dudubay...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava Dudubaya amesema ili mtu aweze kuacha madawa ya kulevya ni hadi dhamira yake imsute na kuamua mwenyewe kwa dhati.   Akizungumza katika kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV, Dudubaya amesema msanii mwenzake Chid Benz na wasanii wengine hawawezi kuacha kutumia madawa ya kulevya kwa watu kuwapeleka popote kama dhamira yao haijawasuta […]

Read More..

KUONDOA VITU VISIVYO NA UMUHIMU NA KUSAIDIA...

KUONDOA VITU VISIVYO NA UMUHIMU NA KUSAIDIA WENYE UHITAJI. Kuhusu sisi. Kampeni ya kuondoa vitu visivyo na umuhimu ni jitihada ya wajibu wa kijamii inayowataka wananchi kuchangia vitu vyao vya ziada ili kuwasaidia wahitaji. Lengo la kampeni Lengo la kampeni hii ni kuibua uelewa kuhusu hasara za kurundika vitu visivyokuwa na umuhimu, faida za kuviondoa […]

Read More..

JB Aongea Kuhusu Mfumo Huu Mpya wa Uzinduzi...

Post Image

Mcheza filamu maarufu Jacob stephen (JB) amefanya mkutano na waandishi wa habari kwa lengo la kutambulisha mfumo mpya wa kuonesha filamu kupitia media ya Sibuka Maisha channel 111 kwenye startimes kabla ya kuingia madukani. Amesema filamu hiyo inaoneshwa kwa mara ya kwanza Ijumaa tarehe 23 mwezi huu saa 3 usiku na kurudiwa Jumamosi na Jumapili […]

Read More..

AY Atoboa Haya Usiyoyajua Kuhusu P-Funk

Post Image

Ambwene Yessaya aka AY amefunguka kwa kumtaja mtayarishaji wa muziki mkongwe hapa Bongo, P-Funk Majani ndiye alimpatia majina yake mawili ya utani. Rapper huyo ameyataja majina aliyopewa na mtayarishaji huyo mkongwe ni pamoja na jina la Mzee wa Commercial ambalo alipewa mwaka 2001 na El Chapo ilikuwa mwaka 2012. Kupitia mtandao wake wa Instagram, AY […]

Read More..

Harmonize: Nilishawahi Kuwa Dereva Bodaboda

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Matatizo’ amefunguka na kusema kuwa katika harakati zake za kutafuta maisha alishawahi kuwa dereva wa bodaboda. Harmonize amesema aliifanya kazi hiyo katika kuhakikisha anaendesha maisha yake kabla ya yeye kutoboa kwenye mambo ya muziki. Akiongea kupitia kipindi cha ‘Ngazi […]

Read More..

Saida Karoli Afunguka ya Moyoni

Post Image

Msanii wa nyimbo za asili Saida Karoli aliyevuma kitambo, amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnum kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya. Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Mapenzi kizunguzungu’, Kaisiki, Maria Salome na nyingine kibao na alifanikiwa kuliteka soko la Afrika Mashariki kwa nyimbo hizo na kujipatia […]

Read More..

Mrembo Nakufa Kwa Ukimwi, Amtumia Ujumbe Au...

Post Image

Mwanamke mmoja aliyejitambulisha kuwa ni muumini wa kanisa mojawapo jijini Dar, anayeshirikiana na wenzake kufanya maombi nyumba hadi nyumba, wamekutana na mrembo aliyekataa kumtaja jina maeneo ya Kawe, akiwa hoi akidai anakufa kwa Ukimwi, lakini akataka wafikishe ujumbe wake kwa msanii wa filamu, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akizungumza kwa njia ya simu aliyopiga chumba chetu […]

Read More..

Hip Hop si Dini Wala si Kabila- Darassa

Post Image

Rapa anayefanya vizuri na wimbo wake wa ‘Too Much’ kwenye muziki wa bongo sasa Darassa amefunguka na kusema kuwa muziki wa Hip hop si kabila wala si dini ila yeye anatambua kuwa anakipaji. Akiongea kwenye kipindi cha ‘Ngazi kwa Ngazi’ kinachorushwa na EATV Darassa amesema watu wamekuwa wakiongea mengi juu ya muziki anaofanya, watu wamekuwa […]

Read More..

Bongo Movie Haijafa- Batuli

Post Image

KUNA wakati ambapo kila mtu huwa na lake la kusema katika kuongelea jambo linalogusa maslahi yake kama mwanadada msanii mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ anayepingana na kauli ambazo hutolewa na baadhi ya wasanii kuwa tasnia ya filamu imeshuka au inaelekea kaburini. “Huwezi kubishana na mtu kuhusu kusema kuwa Bongo Movie imeshuka […]

Read More..

Wema Awapa Makavu ‘Team Wema’

Post Image

Muigizaji nyota wa filamu nchini, Wema Sepetu amewatimua watu wanaojiita Team Wema waliotapakaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii, akisema hawataki kwa vile wanamharibia maisha yake. Katika sauti aliyoituma katika akaunti ya mtandao wake wa Instagram, alisema haelewi hasa asili ya watu hao kujihusisha na jina lake, lakini anakerwa zaidi nao kwa kitendo chao cha kutaka […]

Read More..

Rose Ndauka Kuwa Mtangazaji wa Runinga

Post Image

Malkia wa filamu, Rose Ndauka atakuwa mtangazaji wa kipindi kipya cha runinga kiitwacho ‘SK TV Show’. Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, atakuwa akitangaza kipindi hicho cha runinga akiwa na Fahad Fuad. SK TV Show ni kipindi ambacho kitakuwa kinatoa habari mbalimbali pamoja na matukio yanayotokea katika jamii. Hata hivyo mwigizaji huyo hakuweka […]

Read More..

Chid Benz Afunguka Kuhusu Kurudia Tena Mada...

Post Image

Rapa Chid Benz ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akitumia madawa ya kulevya na baadaye alipelekwa rehabu kwa ajili ya kuacha matumizi ya madawa hayo amefunguka na kusema kuwa arudie kwenye matumizi ya madawa hayo au asirudie hilo watu wasiangalie. Amesema yeye anatambua kuwa hawaangushi mashabiki zake kwenye ile kazi ya muziki ambayo ilifanya wamjue. Chid […]

Read More..

Hivi Ndivyo Diamond Alivyomalizana na Saida...

Post Image

Sallam kutoka WCB ameonyesha baadhi ya nyaraka ambazo zimewapitia kibali cha kutumia sehumu za wimbo ‘Maria Salome’ wa Saida Karoli katika wimbo mpya wa Diamond, ‘Salome’. Wimbo ‘Maria Salole’ wa Saidi Karoli ni miongoni mwa nyimbo za asili zilizofanya vizuri miaka ya 2000. Hali hiyo iliufanya uongozi wa Diamond kuzungumza na uongozi wa Saida Karoli […]

Read More..