-->

Sitaki Tena Kuitwa Binti Machozi – La...

Post Image

Queen wa bongo fleva Lady Jay Dee Baada ya kuamka tena na Ndi Ndi Ndi, ameendela kulikataa wazi jina lake alilokuwa akilitumia hapo awali la binti machozi. Akizungumza na Enewz Jay Dee alisema kuwa kwasasa hataki tena kusikia watu wakilitumia jina hilo kwake wala kwa bendi yake kwani bendi hiyo sasa inajina jipya la ”The […]

Read More..

Zari, Mama Diamond Watifuana Mbele ya Wazun...

Post Image

Inadaiwa ilitokea lakini haikuandikwa! Kuna habari kuwa, ile safari ya familia ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kula bata kwenye nchi za Ulaya, ilikuwa na mambo mengi lakini kubwa ni madai ya kuwepo kwa mtifuano kati ya mama Diamond, Sanura Kasim na Zarinah Hassan ‘Zari’ ambaye ni mzazi mwenzake, Diamond. Kwa mujibu […]

Read More..

Ali Kiba Asaini Mkataba na Sony Music, Sout...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Ali kiba amesaini mkataba leo na kampuni ya Sony Music jijini Johannesburg,South Africa, moja ya vitu vilivyomo kwenye mkataba huu ni kampuni hii kubwa ya muziki duniani kusimamia pia video zake na audio kwa kuzilipia na kuzifikisha kwenye masoko makubwa ya muziki duniani. Ali Kiba ameungana na mastaa wengine duniani waliosign […]

Read More..

Feza na Lulu Wajitosa Kwenye Bifu la Vaness...

Post Image

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Feza Kessy wamejitosa kwenye bifu la Shilole na Vanessa Mdee ambalo linaendelea katika mitandao ya kijamii. Chanzo cha bifu ya Shilole na Vanessa hakijatambulika, lakini wawili hao toka jana wamekuwa wakirushiana maneno makali na vitisho katika mitandao ya kijamii hali ambayo imewafanya baadhi ya wasanii kuingilia kati sakata […]

Read More..

Matonya Atua kwa Gigy

Post Image

Baada ya fununu kuzagaa kuwa kwa sasa Giggy Money ameiparamia ndoa ya Matonya na imekua ni mwendo wa kunyweshana supu tu, wawili hao wamefunguka juu ya ishu hiyo. Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika […]

Read More..

Bifu la Shilole na Vanessa, Shilole Atangaz...

Post Image

Msanii Shilole ametangaza vita na msanii mwenzake Vanessa mdee, na kusema kuwa asiombe kukutana naye popote. Akiongea na East Africa TV baada ya kupigiwa smu kujibu tuhuma hizo, Shilole amesema amechukizwa na kitendo cha Vanessa kuandika mambo mabaya juu yake na kupost istagram, hivyo ajiandae kwa lolote. “Ukiona hivyo ujue kimenuka, kaniongelea shit mi sijapenda, […]

Read More..

Shilole: Wanaume Suruali Sasa Basi

Post Image

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kuanzia sasa hataki tena kuwa na mwanaume suruali, bali anahitaji mtu mwenye nazo, ndiyo maana ameamua kufanya kazi kwa bidii. Akilonga na Risasi Vibes, Shilole alisema kuwa kwa sasa ameamua kukaa singo kwa sababu ameona hakuna faida ya kuwa na mwanaume asiye na kitu. […]

Read More..

Lulu Awashukia Wanaoshindania Uzuri na Maka...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael alimaarufu kama Lulu amefunguka na kusema kama wasanii wa filamu nchini wana wakati mgumu kutokana na changamoto mbalimbali zinazoikabili tasnia hiyo ya filamu nchini.   Kupitia Account yake ya Twitter Lulu Michael ameonyesha kukatishwa tamaa na mambo mbalimbali kwenye tasnia hiyo huku akionyesha wazi uelewa mdogo na kukosa maarifa […]

Read More..

Wema, Petit Ndani ya Bifu

Post Image

Imevuja! Urafiki wa muda mrefu wa muigizaji nyota, Wema Sepetu na mshika kamera wake, Petit Man umeingia dosari baada ya kudaiwa kuwa wawili hao wako ndani ya bifu, Risasi Mchanganyiko linakujuza. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa Wema na Petit ambao hapo awali walikuwa wakiambatana kama kumbikumbi, kila kona walipoonekana, hivi sasa ni kama paka […]

Read More..

Akili the Brain Afunguka Kinacho Mkosesha R...

Post Image

Msanii ambaye pia ni prodyuza Akili the Brain amesema anatamani apate mtu wa kufanya muziki anaoufanya wa Bongo Bangra, ili apate changamoto ya kuwa na mshindani. Akili ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, na kusema kuwa anajisikia vibaya pale anapoona hakuna msanii mwengine anayefanya muziki huo. “Kuna wakati nasikitika sana kwamba nakosa […]

Read More..

Ray Kigosi na Johari Kuja na Tamthilia Mpya

Post Image

Wasanii wa filamu wanaounda kampuni ya RJ Company, Brandina Chagula ‘Johari’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wanajiapanga kuingia kwenye biashara ya kuandaa tamthilia ambazo zitakuwa zinaonyeshwa katika runinga. RJ Company ni miongoni mwa kampuni kongwe za filamu nchini ambazo mpaka sasa imeshaandaa filamu nyingi pamoja na kuibua vipaji vipya vya waigizaji. Akizungumza katika kipindi cha Uhondo […]

Read More..

Faiza Atoa Sababu za Kwanini Hajatoka na Mt...

Post Image

Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha, Faiza Ally amedai hajawahi kufanya mapenzi na mtanzania yeyote toka aachane na aliyekuwa mume wake Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa madai kuwa anaogopa kuzalilishwa. Muigizaji huyo amesema hali hiyo imekuja kutokana na matukio ya uzalilishaji wa wanawake ambayo yanaripotiwa kutokea katika sehemu mbalimbali hapa nchini. Kupitia […]

Read More..

Milioni 50 za Kayumba Zimeisha, Kanunua Gar...

Post Image

Meneja wa kundi la Yamoto Band na diwani wa kata ya Kirungule amefunguka na kusema kuwa Kayumba Juma mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya muziki la Bongo Star Search (BSS) amemaliza pesa yake milioni 50 na kusema katika vitu alivyofanyia pesa hiyo ni pamoja na kununua gari. Akizungumza kwenye eNEWS Said Fella amedai kuwa walimnunulia […]

Read More..

Aika: Nina Wivu Kabambe na Nahreel Acha Tu

Post Image

Memba wa Kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale amefunguka kuwa ana wivu wa kupindukia kwa memba mwenzake ambaye ni mpenzi wake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ wanaotamba na wimbo wao wa Kamatia Chini kwani kuna kipindi huwa anapata wakati mgumu hasa warembo wanapokatiza mbele ya jamaa huyo. Aika aliliambia Wikienda kuwa kila mwanadamu ana moyo na kuna watu wengine wanaweza kuwaona kuwa wapo tu wala hawaoneani wivu lakini ukweli ni kwamba ana wivu na mpenzi […]

Read More..

Hii ‘Aje’ ya Alikiba ni Kiboko- Mwana FA

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Mwanafalsafa A.K.A Mwana FA amefunguka na kuonyesha hisia zake kuikubali kazi mpya ya msanii Alikiba ambayo inafahamika kwa jina la ‘Aje’ Mwana FA kupitia account yake ya twitter aliandika ujumbe wenye kuonyesha kuwa kazi hiyo ya msanii huyo ni kiboko na kusema amesikiliza mara nyingi sana lakini hajaweza kugundua […]

Read More..

Hii Ndiyo Kazi ya Johari Mbali na Filamu

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Brandina Chagula ‘Johari’ amesema nje ya filamu anafanya biashara ya mapishi ya vyakula mbalimbali lakini ni kwa oda maalum. Muigizaji huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha filamu ya ‘RJ Company’, akiwa Vicent Kigosi, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa, nje ya filamu yeye ni mjasiriamali wa biashara […]

Read More..

Nay Wa Mitego Afungukia Vitisho Alivyovipat...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego amefunguka kuwa ingawa  asilimia kubwa ya ngoma zake zinazofanya vizuri ni zile ambazo inaonekana amediss watu live kwa kuwataja majina lakini katika maisha yake anasema hatoisahau wimbo wa Salaam Zao kwa sababu ndiyo wimbo iliyowahi kumpa shida kuliko nyimbo zake zote. ‘’Ngoma ya Salam Zao nilipokea vitisho vingi […]

Read More..

Baby Madaha: Nimeamua Kutulia na Ndoa Yangu...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha, ameibuka na kudai kwa sasa ameamua kutulia katika ndoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina. Baby yupo mbioni kuachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Corazon’ unaofanyiwa video yake nchini Dubai kwenye makazi yake mengine. “Kwa sasa ninaishi nchi mbili, nipo Tanzania na pia […]

Read More..