-->

Harmonize Ajiweka kwa Jacqueline Wolper?!

Post Image

Wanasema sharing is caring. Ndiyo maana Harmonize haoni hatari kuweka kambi kwenye koloni la zamani la bosi wake, Diamond. Inaonekana si tetesi tena kwasababu CEO wa WCB mwenyewe ametoa baraka zake kwa wawili hao, Harmonize na Jacqueline Wolper ambao yeye anawaita ‘love birds.’ Diamond na Wolper waliwahi kuwa na uhusiano miaka kadhaa iliyopita. Muimbaji huyo […]

Read More..

Johari Afunguka Kuhusu Bwana Wake

Post Image

Staa wa kitambo ambaye ni tunda la Kaole Sanaa, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa watu wengi ‘wanamdiskasi’ kuwa hamwaniki mpenzi wake lakini ukweli ni kwamba ishu hizo hazifagilii. Akizungumza na gazeti hili, Johari alisema kuwa hakuna mwanamke ambaye anakosa mpenzi hususan kwa umri wake lakini hapendelei kumweka hadharani na wala hana tatizo. “Sipendi kwa sababu kuna kipindi watu walikuwa wanasema natoka na Ray (Vincent Kigosi) lakini hawajahi kuona namweka kwenye mitandao,” alisema Johari ambaye ni Boss Lady wa RJ […]

Read More..

Picha: Mchekeshaji Mkono Mkonole Afunga Ndo...

Post Image

Msanii wa vichekesho, Mkono Mkonole, Jumamosi hii amefunga ndoa kimya kimya mkoani Tanga na mwanadada aitwae Sabrina Ally. Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Mkono amesema amefunga ndoa kimya kimya kutokana na kifo cha msanii mwenzake, Kinyambe aliyefariki Mkoani Mbeya wiki iliyopita na kuzikwa huko huko. “Nimefunga ndoa jumamosi hii mkoani Tanga, sema ndoa ilikuwa kimya […]

Read More..

Aunt Ezekiel, Mose Iyobo na Cookie Kuja na ...

Post Image

Msanii wa filamu, Aunt Ezekiel na mpenzi wake Mose Iyobo pamoja na mtoto wao ‘Cookie’, wapo kwenye mchakato wa kuandaa filamu ya fimilia. Mose Iyobo ambaye pia ni dancer wa Diamond, ameiambia Bongo5 kuwa tayari wapo kwenye mchakato wa kauandaa kazi hiyo. “Kuna kazi za filamu zinakuja, mtaziona tu, tena familia yetu yote mtaiyona,” alisema […]

Read More..

Sisi Tumebadilisha Muziki – Ferouz

Post Image

Msanii Ferouz amesema utofauti mkubwa uliopo kati ya Bongo fleva ya zamani waliokuwa wanafanya wao na Bongo fleva ya sasa hivi, ni kwamba wao walikuwa wanaimba ujumbe wenye kuelimisha zaidi. Ferouz amyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV na kusema kuwa kitendo hicho kiliwahamasisha hata wasanii wachanga kufuata nyayo zao. […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kutolipwa Alipokuwa To...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amesema kuwa alikuwa halipwi kitu alipokuwa Top Band, ommy  ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, na kusema kuwa hajayajutia magumu hayo, kwani alikuwa anajifunza. “Mwanzo wakati naanza nipo Top Band nilikuwa siko vizuri financially (kifedha), nilikuwa sina hela, nilikuwa naenda kwenye shoo kwenye bendi, ilikuwa some […]

Read More..

Giggy Money: Gardner Kwangu Hachomoki

Post Image

MUUZA nyago kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo anayeuza maneno katika Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita, Risasi Jumamosi  linakumwagia ubuyu wote. Akichonga na gazeti hili baada ya picha zinazomuonesha […]

Read More..

Picha za Wema na Ommy Wakiwa Chumbani Zawa ...

Post Image

DAR ES SALAAM: LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza habari, amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo. PICHA ZADHIHIRISHA Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kuvuja kwa picha […]

Read More..

Picha: Mamia ya Wakazi wa Jiji la Mbeya Wam...

Post Image

MBEYA: MAMIA ya wakazi ya jiji la Mbeya wamemzika aliyekuwa msanii wa vichekesho James Petro Nsemwa (30) maarufu kama Kinyambe ambaye alifariki dunia jumatano ya wiki hii mkoani Mbeya, katika makaburi ya Hayombe Uyole Igawilo mkoani Mbeya. Msururu wa wakazi wa jiji la Mbeya pamoja na magari ulitembea kutoka nyumbani kwa wazazi eneo la makondeko […]

Read More..

Madee Akanusha Kufumaniwa Akiwa na Shilole

Post Image

Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi yaani chumbani. Lakini Madee kupitia kipindi cha Planet bongo amekana tuhuma hizo na kusema kuwa suala hilo halina ukweli wowote ule na kudai kuwa […]

Read More..

Mtangazaji Gardner Atakiwa Kumuomba Radhi L...

Post Image

Kufuatia madai  kuwa mtangazaji wa clouds fm, Gadner G Abashi ‘Captain’ kumdhalilisha  mwanamziki Laday jaydee ambaye alikuwa mke wake, wanasheria wa Lady Jaydee wamtaka Gardner kuomba radhi mbele ya umma. Hii ndiyo barua aliyopelekwa kwa Gardner.

Read More..

Sipo kwa Ajili ya Kujiuza- Wastara

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma  ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza. Wastara alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWS ambapo inasemekana kwa sasa kuna wanaume kibao ambao wanajitokeza kumtaka baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake […]

Read More..

Najma: Sijali ‘Makombo’ kwa Baraka

Post Image

Mwanamuziki Najma Dattan ‘Naj’ ameibuka na kusema kuwa kwa msanii mwenzake Baraka Da Prince amefika wala hajali ametoka na wanawake wangapi kwa sababu hata yeye ana ‘pasti’ yake. Akizungumza na Ijumaa, Najma alisema kuwa amekuwa akiwashangaa wasichana waliopita kwa Baraka ndiyo wanamuongelea kila siku wakidai anakula makombo lakini Baraka mwenyewe haongelei kabisa uhusiano wa watu […]

Read More..

Wanaume wa Mitandaoni Wamenipa Somo-Giggy M...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva ambaye jana ameachi wimbo wake unaoitwa ‘Supu’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hataki tena wanaume wa mitandaoni na kudai kuwa wanaume hao wamempa somo. Giggy Money akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo amesema kuwa msanii Hemedy Phd pamoja na Rich Mavoko ndiyo wasanii ambao walimtokea kupitia njia ya mtandao na […]

Read More..

Diamond Afungukia Madai ya Yeye na Zari Kuc...

Post Image

Star wa Bongo fleva Diamond Platnum akanusha juu ya stori zilizozagaa mitandaoni kuwa mpenzi wake Zarina ama mama Tiffa anachepuka na Ivan huku yeye akichepuka na video Quuen wa Ketu ya Raymond Akizungumza na Enewz Diamond alisema kuwa hizo ni stori tu ambazo mapaparazi waliamua kuzitengeneza lakini Zari hakuwahi kuwa na uhusiano wowote na Ivan […]

Read More..

Kwa Picha Hii, Wema Amemjibu Zari?

Post Image

Miezi kadhaa iliyopita liliibuka gumzo kubwa mtandaoni kati ya Timu Wema na Timu Zari kuhusu nani kati ya Wema Sepetu na Zarinah Hassan ‘Zari’ ana wowowo kubwa. Katika mjadala huo kila upande ulikuwa ukivutia kwake huku mara nyingi Timu Zari wakitumia ile picha aliyopiga Zari na Diamond (Zari kavaa gauni jekundu na Diamond kavaa suti […]

Read More..

Wastara Afunguka Kuhusu Ndoa Tena

Post Image

Msanii wa bongo Movie Wastara Juma afunguka juu ya stori zinazozagaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii na magazeti ya udaku kuwa hataki tena Ndoa. Akizungumza na Enewz Wastara alikanusha tuhuma hizo na kusema kuwa ndoa yake na mheshimiwa ilikua imejaa timbwili timbwili na makubwa mpaka ikapelekea akadai talaka na baada ya mheshimiwa kusanda pia wametokea […]

Read More..

Picha: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Bungeni...

Post Image

Kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz leo walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo mastaa hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kupiga burudani  Chuo kikuu cha Dodoma. “Unajua leo tuna show hapa Dodoma mimi na Mafikizolo hivyo serikali kupitia kwa Waziri Nape Nnauye walitualika bungeni japo […]

Read More..