-->

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kus...

Post Image

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kusaidia kwakuwa hayuko sawa hata kidogo. Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa. Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila […]

Read More..

Diamond Afungukia Mimba Nyingine ya Zari

Post Image

STAA wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine malkia wake wa nguvu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Risasi Jumamosi linakuhabarisha. Diamond ambaye tayari amejaaliwa mtoto mmoja (Tiffah) na mrembo huyo raia wa Uganda, amefunguka jambo hilo hivi karibuni alipokuwa […]

Read More..

Lulu Atengwa Bongo Muvi?

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ameendelea kuzua minong’ono kutokana na kitendo cha kutoshiriki kwenye mikusanyiko ya wasanii wenzake hadi kufikia hatua ya kutengwa. Hali hiyo ya sintofahamu ilijidhirisha Jumanne iliyopita kwenye hafla ya kumpongeza Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam iliyoandaliwa na wasanii wa Bongo Muvi chini ya uratibu wake, […]

Read More..

Idris: Penzi Langu na Wema Sepetu Lipo Pale...

Post Image

Idriss amefunguka yote hayo alipokuwa akishiriki kipindi cha ‘Friday Night Live’ kinachorushwa na EATV kila siku ya ijumaa. Akijibu swali la mtangazaji Sam Misago kuhusu mahusiano yake na Wema Sepetu kwa sasa kwamba inasemekana hawapo sawa Idris amesema ”Mimi na Wema Sepetu ni Mwaa bado tupo zizuri kabisa” Alipoulizwa kwamba ni kweli anampenda Wema au […]

Read More..

Johari, Baba Haji Wagandana

Post Image

Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba Haji’ wakiwa katika pozi baada ya kukutana usiku mnene kwenye Hoteli ya Rodizio iliyopo Masaki jijini Dar. Musa Mateja, Risasi jumamosi Dar es Salaam: Mh! Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba […]

Read More..

Richie : Hakuna Msanii Anayeweza Kuwa Namba...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA2016 amezungumza kwenye kipindi cha Jahazi kuwa kuna kipindi akishuka sana kisanii kutokana na mambo mbalimbali lakini pia akakiri kuwa msanii yoyote hawezi kuwa namba moja milele kwani kila msanii na wakati wake. “Ukweli ni kwamba mimi sikuwa Napenda kuigiza nilienda kwenye kundi letu la zamani la ‘Mambo Hayo’  kusaidia Raymond […]

Read More..

Da Zitta: Filamu za Bongo Zinalipa

Post Image

MAPRODYUZA wanaochipukia katika tasnia ya filamu wengi wao hawafikii malengo waliyojiwekea kutokana na kukatishwa tamaa na baadhi ya wasanii na maprodyuza wenye majina makubwa ambao wanaogopa changamoto za maprodyuza wapya. Lakini licha ya maprodyuza na wasanii wenye majina makubwa kuwahadaa wasanii na maprodyuza wanaochipukia katika tasnia hiyo wengi wao si wadadisi na hukata tamaa haraka. […]

Read More..

Watoto wa Mastaa wa Bongo Wanaotabiriwa Kuj...

Post Image

Kila mtoto anapozaliwa huanza kumuangalia mzazi wake kama ni role model wake, lakini baadaye wengi huanza kubadili mawazo yao. Mastaa wa Bongo wameanza kuwatengenezea mazingira watoto wao ya kutembelea nyota za wazazi wao ili watengeneze hela kuanzia sasa mpaka hapo baadaye. Hawa ni baadhi ya watoto wa mastaa wanaotabiriwa kuja kuwa mastaa baadaye, wengine wanaweza […]

Read More..

Johari Alia na Watayarishaji Wadogo wa Fila...

Post Image

MSANII nguli katika tasnia ya filamu Bongo Blandina Chagula ‘Johari’ amewatolea uvivu watayarishaji wadogo kama ndio chanzo cha kudorora kwa tasnia ya filamu Bongo kwani wamekuwa wakitumia bajeti ndogo katika utengenezaji wa Filamu na kulipua kazi zao. “Niseme ukweli tu watayarishaji wadogo wanaua tasnia ya filamu kwa kukurupuka bila kujipanga hauwezi kutengeneza filamu nzuri kwa […]

Read More..

Jux Asema Hataki Maswali ya Vanessa na Jack

Post Image

Jux ameweka wazi hisia zake hizo baada ya kufanyiwa mahojiano na eNewz ambapo alisema kuwa yeye pia ni mwanamuziki kama ilivyo kwa Vanessa Mdee na kusema kuwa imejengeka kuwa kila interview anayoifanya ni lazima watu wamuulize kuhusu uhusiano wake na Vanessa na kwasasa imeibuka ya kumuuliza juu ya Jack Cliff. Jux alishawahi kuwa kwenye mahusiano […]

Read More..

Paul Makonda ‘Awatumbua’ Bongo Muvi

Post Image

Wasanii wa filamu Bongo, Jacob Steven na Ester Kiama juzikati walinaswa wakiwa kimahaba gizani, jambo lililoibua maswali mengi. Tukio hilo lilitokea nje ya Hoteli ya Rodizio iliyopo maeneo ya Masaki jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali walifika kwenye pati ya kumpongeza Mheshimwa Paul Makonda kwa kuchaguliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Awali, mishale ya saa […]

Read More..

Diamond Akanusha Kumpima Tiffah DNA

Post Image

Mkali wa muziki wa Bongo fleva hapa nchini, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz, amekanusha tetesi zakwenda kumpima mtoto wake Latiffah ‘Tiffah’ vinasaba ‘DNA’ ili kupata uthibitisho wa kuwa ni mwanawe au sio mwanae. Diamond amezungumza hayo baada ya kufanyiwa mahojiano na eNewz kuhusiana na tetesi hizo ambapo alikanusha suala hilo, Diamond Anasema kumpima mtoto wako […]

Read More..

Tanzania Yatajwa Kwenye Nchi 10 Zisizo na F...

Post Image

Denmark imechukua nafasi ya Switzerland kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mujibu wa ripoti iliyotoka Jumatano hii. Ripoti hiyo imeandaliwa na ‘Sustainable Development Solutions Network and the Earth Institute’ katika chuo kikuu cha Columbia. Ilionesha kuwa Syria, Afghanistan na nchi zingine 8 zilizopo chini ya jangwa la Sahara ndizo sehemu zisizo na furaha zaidi. […]

Read More..

Mali za Jide Zazua Kizaazaa!

Post Image

Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kukabidhiwa talaka na aliyekuwa mumewe, Gardner G. Habash ‘Captain’, mali za mrembo wa nguvu, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ zinadaiwa kuzua kizaazaa baada ya kusemekana kutokea mvutano wa baadhi ya ndugu wa mwanamuziki huyo kutaka amgawie mtalaka wake  huyo, Amani lina ubuyu kamili. TUANZE NA TALAKA Baada ya Jide […]

Read More..

Baraka Afunguka Kuhusu Naj

Post Image

Siku chache baada ya Enewz kuzinyaka tetesi zinazomuhusisha msanii wa bongo fleva Baraka da Prince kuwa na mahusiano na wasanii wa kike tofauti tofauti, mapya yameibuka kuhusiana na sakata hilo. Hivi sasa E-News yapata fununu za Baraka kuhusishwa kimapenzi na msanii Naj. Hili limekuwa jipya kwa E-newz na kutaka kufahamu juu ya msanii huyo kuonekana […]

Read More..

Kanye West Aliomba Kupiga Picha Viatu Vyang...

Post Image

“Nilikutana na Kanye West Airport Los Angeles wakati nikisubiri mabegi yangu pale, kuna sehemu nilikuwa nimekaa namsubiri Mose Iyobo na Babu Tale sasa ghafla akaja mtu na kuniuliza naweza kupiga picha viatu vyako? nikamwambia haina tatizo sasa nilipomuangalia vizuri ndiyo nikagundua kuwa ni Kanye West, hapo sasa ndipo nikashtuka nikawa siamini amini hivi lakini jamaa […]

Read More..

Serikali Yafafanua Tuzo ya Lulu

Post Image

SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imefafanua kwamba filamu ya ‘Mapenzi ya Mungu’ ya msanii Elizabeth Michael (Lulu) iliyoshinda tuzo ya Filamu bora Afrika Mashariki mapema mwezi huu huko Lagos, Nigeria katika tuzo za African Magic Views Choice Award (AMVCA), aliipata kwa kuwa yeye ndiye mmiliki wa filamu hiyo. Taarifa kutoka wizara […]

Read More..

Lulu Azuiwa Kuingia Ikulu

Post Image

Imefichuka! Baada ya kuitwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa ajili ya kupongezwa kutokana na tuzo aliyopata nchini Nigeria, staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alijikuta akihaha baada ya kuzuiwa kuingia Ikulu kutokana na kutokuwa na kitambulisho cha chama cha waigizaji. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba Lulu alijikuta katika wakati mgumu kwani utaratibu wa […]

Read More..