Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kus...
Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kusaidia kwakuwa hayuko sawa hata kidogo. Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa. Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila […]
Read More..