-->

Nuh Mziwanda: Shilole Alikuwa Ananioteza, H...

Post Image

Nuh Mziwanda amedai kuwa Shilole hakuwa mwanamke aliyekuwa akimshauri mambo ya msingi. Akiongea na Clouds FM, Nuh amedai kuwa ex wake huyo hakuwa hata kumshauri ajijenge kimaisha kwakuwa alipenda aendelee kuwa tegemezi. “Nilikuwa naishi kwa mwanamke wangu (Shilole) alikuwa hataki ninunue hata feni, hajawahi kuniambia ninunue friji,kitanda niweke nyumbani kwa mama yangu vikae,ila wazazi wangu […]

Read More..

Mtoto wa Kanye West Amchanganya Wema Sepetu

Post Image

Siku moja baada ya mastar wakubwa Kim Kardashian na Kanye West kupost picha ya mtoto wao wa pili aitwaye ‘Saint West’ ameonesha kumchanganya sana bidada Wema Sepetu kwa kile alichokifanya kwenye mitandao yake ya kijamii.   Wema Sepetu jana amepost picha zaidi ya tatu Instgram za mtoto huyo huku akionesha ni jinsi gani ametokea kumpenda […]

Read More..

Mwakifamba, Kipemba Kugombea Urais

Post Image

KAMATI ya Uchaguzi wa viongozi wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), imetangaza majina ya watakaogombea katika uchaguzi utakaofanyika katika Ukumbi wa Urafiki, Ubungo, Februari 20 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mathew Bicco, alisema uchaguzi huo utakuwa na nafasi tatu za kugombania ambazo ni urais, […]

Read More..

Wema Ashauriwa Aachane na Wanaume wa Instag...

Post Image

Malkia wa controversy, Mange Kimambi yupo shingoni mwa Idris Sultan akimuelezea kuwa miongoni mwa ‘these young guys wanaoshinda kwenye social media.’ Mange amepost kipande cha video kinachomuonesha Idris akiimba wimbo wa Justin Bieber, Sorry. “I think wote mshaona balaa la Idris na Wema huko snap chat. Idris ndo alieanza vijembe mwishowe Wema kamjibu Kwa kusema […]

Read More..

Linah Alala na Wizkid Hotelini

Post Image

Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka. Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa […]

Read More..

Kisa Nicki Minaj, Shilole Asaka Ticha wa Ki...

Post Image

Msanii Shilole au Shishi Baby, anatafuta mwalimu wa kumnoa kwenye lugha ya kingereza, ikiwa ni maandalizi ya kuonana na msanii wa Marekani Nicki Minaj. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo. “Anatafutwa mwalimu wa kingereza mzuri, jamani huu sio utani […]

Read More..

Lulu Azushiwa Kifo Kwenye Mitandao ya Kijam...

Post Image

Msanii wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii. Mtandao mmoja uliandika ‘Picha 40 na video za msiba wa msanii wa bongo movie hizi hapa . RIP Elizabeth’. Baada ya kauli hiyo, Lulu kupitia instagram aliandika Nasikia Nimekufa Wewe uliyePost hii. Kama wewe utakuwepo TUTAONANA TENA 2017 […]

Read More..

Filamu ya Kasanga Naye Mwana Yaingia Sokoni...

Post Image

ILE Filamu ya Kasanga naye mwana imeingia leo sokoni na kusambazwa nchi nzima akionge na FC Nassor kutoka kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam amesema kuwa filamu hiyo inaptaikana katika maduka yote ya filamu na Bongo movie Shop kila mkoa. Filamu ya Kasanga Naye Mwana imeingia leo sokoni na inapatikana katika maduka […]

Read More..

Wasanii Wawili Wafariki Bongo Muvi

Post Image

Misiba! Wakati wadau wa Bongo Movies wakiwa kwenye majonzi ya kifo cha Michael Dennis ‘John Woka’, kwenye Bongo nako kuna pigo la kuondokewa na wasanii wawili, Maneno Gongo ‘Mr Gongo’ na Jennifer Vincent ‘Mama Utajiju’. Gongo alifariki dunia wiki iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili baada ya kusumbuliwa na presha kwa muda mrefu. Marehemu Gongo aitwaye […]

Read More..

Ray C Afungiwa Hospitalini

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ anadaiwa kuwekwa chini ya uangalizi maalum akiwa amefungiwa kwenye Hosptali ya Mwanayamala, Dar baada ya madai ya kurudia matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’. Chanzo makini cha Ijumaa Wikienda kilimshuhudia Ray C akiwa kwenye wodi maalum ya waathirika wa unga huku mama yake mzazi akiwa anamuangalia wakati […]

Read More..

Video: JB Alipotembelea Kituo cha Kulelea W...

Post Image

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ mwishoni mwa mwaka uliyopita alitembelea kituo cha Watoto Yatima cha Msimbazi Centre kilichopo Ilala na kutoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki msanii huyo amesema anasikia faraja kuwatembelea watoto hao. JB pia alitumia nafasi hiyo kwa kuongea na uongozi wa kituo hicho kisha […]

Read More..

Barua ya Jack Cliff Yazua Simanzi Upya

Post Image

Ikiwa imekatika miaka miwili tangu alipokamatwa na madawa ya kulevya huko Macau, nchini China, Video Queen, Jack Cliff ameibua simanzi upya baada ya kuandika barua ya wazi kwa Watanzania. Simanzi hiyo iliibuka mwanzoni mwa wiki hii mara baada ya barua hiyo kusomwa redioni na Mtangazaji Millard Ayo ambapo barua hiyo ilieleza kuwa ameamua kufanya hivyo […]

Read More..

Majungu Yanaturudisha Nyuma Wasanii wa Kike...

Post Image

Mwanadada kunako muziki wa Bongo fleva, Linah Sanga, ametoa yaliyo moyoni kwa kuweka wazi kuwa wasanii wengi wa kike hapa Bongo wameshindwa kufanikiwa kwenye muziki kutokana na kuendekeza majungu badala ya kufanya kazi. Linah amesema kitendo hicho kimekuwa kikiwarudusha nyuma na kusema ni wakati sasa kwa wasanii wa kike kujitafakari na kufanya kazi kwa ushirikiano. […]

Read More..

Talaka ya Jide Mazito Yaibuka!

Post Image

Siku chache baada ya staa mwanadada mkongwe wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ kupewa talaka mahakamani na mumewe Gardner G. Habash ‘Captain’ mazito yameibuka baada ya kubainika uwepo wa hati nyingine ya talaka aliyoitoa Gardner kwa mwanamke mwingine, Risasi limeinasa. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa mbali ya Jide anayetarajia kuibuka na kishindo kikubwa cha […]

Read More..

Maneno ya Lulu na Wema Sepetu Baada ya Kuon...

Post Image

Usiku wa February 20 2016 mwigizaji Lulu ilibidi aandike tu kwenye page yake ya Instagram kuhusu taarifa za yeye kufumaniwa na Idris Sultan ambaye siku za karibuni amekua akijulikana kama boyfriend wa Wema Sepetu. Lulu aliandika >>> ‘Huyo ulodai kanifumania hana hata Taarifa….guys hizo drama zenu za kwenye mitandao sio kila mtu ana entertain…..tushafanya drama […]

Read More..

Muziki Unalipa Zaidi ya Filamu-Snura

Post Image

Mwanamuziki na muigizaji Snura Mushi amesema muziki unamlipa zaidi ndio maana hafikirii kwa kipindi hiki kuwaahidi mashabiki wake ujio wowote wa filamu. “Muziki unalipa kwa kuwa kila kitu kinamhusu msanii na meneja wake, lakini filamu ina mambo mengi kiasi cha kumfanya msanii kuwa na mambo mengi”. Mwanamuziki na muigizaji Snura Mushi amesema muziki unamlipa zaidi […]

Read More..

Mama Yangu Hapendi Nihame Nyumbani Kwetu â€...

Post Image

Msanii wa filamu Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kuchanwa kwenye wimbo wa Nay wa Mitego ‘Shika Adabu Yako’ kuwa bado anaishi kwao, amejibu tuhuma hizo kwa kudai anaishi kwao mpaka sasa ili kuwa karibu na Mama yake. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Ijumaa hii, Ray alisema yeye ni mtoto wa mwisho […]

Read More..

Shilole Ala za Uso, Atakiwa Kuacha ‘K...

Post Image

Msanii wa bongo fleva asiyeisha vituko Shilole au Shishi Baby, ameijiwa juu na mashabiki wake na kumtaka kuacha tabia ya kupenda wavulana wadogo, huku wakimtuhumu kuwabemenda na kujidhalilisha. wenye ukurasa wake wa instagram ambapo Shilole amepost picha akiwa na mwenzi wake huyo mpya ambaye pia ni mwanamuziki Nedy Music, mashabiki hao wamemtaka Shishi kuacha mara […]

Read More..