-->

Pata Mkopo Usio na Riba

end

Kwanini urejeshe mkopo wa vicoba kwa riba na hali pesa za akiba ni zenu wenyewe?

Basi mkopo huu ni kwaajili ya MTU yeyote MWAMINIFU na mwenye KIU ya MAENDELEO.

Unataarifiwa kuja kupata elimu ya kina kuhusu namna mkopo bila riba unavyofanya kazi na ukielimika na kuielewa unaweza kuamua kujiunga (SIO LAZIMA) kwenye VICOBA hii isiyo na RIBA yoyote ya mikopo yake.

Lengo ni kukuinua kiuchumi na kukuwezesha kujiweza kifedha.

Unapata kuanzia 250,000/= mwezi wa kwanza hadi 10,000,000/= miezi minne inayofuata. Uadilifu na juhudi ndio nguzo yako ya kupata kiwango cha juu zaidi.

Marejesho na hisa ni kidogo kidogo mwezi kwa mwezi.

Elimu elimu elimu

Tafadhali chagua muda utakaokufaa, elimu ni kwa lisaa limoja tu kila siku.

KUKUTANA DAR ES SALAAM NI KILA SIKU:

Jumatatu – Jumamosi

SAA 5 ASUBUHI HADI SAA 6 MCHANA

SAA 6 HADI SAA 7 MCHANA

SAA 7 HADI SAA 8 MCHANA

JUMAPILI

Elimu ni maalum kwa waliokosa nafasi siku za kazi

SAA 10 HADI SAA 11:30 JIONI

MAHALI: Viwanja vya Maonesho vya SABASABA DAR ES SALAAM Piga au WhatsApp GREY RUTTA +255 684 559 958

ARUSHA ARUSHA ARUSHA

Tarehe 8, 9 na 10 Februari, 2016 Wasiliana na NELLY +255783 566 844 ili kupewa namba ya kushiriki elimu hii.

 

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364