-->

Shilole Asema Kuachana na Nuh Mziwanda Hakumzuii Kuendelea na ‘Project’ ya Nyang’anyang’a

SHILOLE245

Ngoma ya ‘Nyang’anyang’a’,Shilole alimuimbia aliyekuwa mpenzi wa Nuh Mziwanda kabla hawajaachana,anazungumzia kama hali hiyo inamzuia kuendelea na project yake ya wimbo huo.

‘’Hapana hainipi ugumu wowote kwasababu wimbo nimeimba bila kumtaja mtu jina ila nimesema nilimuimbia aliyekuwa mpenzi wangu Nuh Mziwanda,hakuna ambacho nishindwe kuendelea ku’promote’ wimbo wangu na hainipi ugumu wowote kabisa,’’Shilole.

Cloudsfm.com

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364