-->

Tag Archives: LULU

Lulu Azushiwa Kifo Kwenye Mitandao ya Kijam...

Post Image

Msanii wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii. Mtandao mmoja uliandika ‘Picha 40 na video za msiba wa msanii wa bongo movie hizi hapa . RIP Elizabeth’. Baada ya kauli hiyo, Lulu kupitia instagram aliandika Nasikia Nimekufa Wewe uliyePost hii. Kama wewe utakuwepo TUTAONANA TENA 2017 […]

Read More..

Maneno ya Lulu na Wema Sepetu Baada ya Kuon...

Post Image

Usiku wa February 20 2016 mwigizaji Lulu ilibidi aandike tu kwenye page yake ya Instagram kuhusu taarifa za yeye kufumaniwa na Idris Sultan ambaye siku za karibuni amekua akijulikana kama boyfriend wa Wema Sepetu. Lulu aliandika >>> ‘Huyo ulodai kanifumania hana hata Taarifa….guys hizo drama zenu za kwenye mitandao sio kila mtu ana entertain…..tushafanya drama […]

Read More..

Idris Ajipoza kwa Lulu

Post Image

Siku chache baada ya taarifa za kutoka kwa mimba ya mwandani wake, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa ‘Hotshot’ 2014, Idris Sultan amebambwa kiwanja akijipoza machungu na staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Amani limenasa tukio. Tukio hilo lililopigwa chabo na paparazi wetu lilijiri wikiendi iliyopita ndani ya […]

Read More..

Naepuka Kutumika Bila Faida – Lulu

Post Image

Staa wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kama unamtaka kumshirikisha katika filamu yako, andaa milioni 15 kwani anaogopa kuendelea kutumika bila faida. Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumapili hii, Lulu alisema tayari alishatengeneza jina kwa miaka mingi na sasa anahitaji pesa. “Kufanya filamu kwa milioni 15 sio hela nyingi, watu […]

Read More..

Ndege Wanaofanana Huruka Pamoja-Lulu

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni,staa mrembo wa Bongo Movies ‘Lulu’ amefunguka haya; Kuna Msemo Unasema “NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA” hii misemo huwa inamaana sana Kwa akili yangu ndogo nilijaribu kuuweka huu Msemo katika Maisha ya kawaida Na nikagundua Una asilimia kubwa ya ukweliKatika Maisha yetu ya mahusiano,urafiki,undugu,ujamaa Na hata ushabiki sio kwamba mambo yanatokeaga Kama miujiza […]

Read More..

Mama Kanumba: Lulu Umenichosha, Uniache!

Post Image

Bifu jipya! Kwa mara nyingine, baada ya kurushiana vijembe kwa muda mrefu, mama mzazi wa aliyekuwa stadi wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Flora Mtegoa amemuonya staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa amemchosha kwa vijembe mitandaoni hivyo anamuomba amuache. NI KATIKA MAHOJIANO MAALUM Katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda, […]

Read More..

Lulu: Mama Amenistiri Sana!

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa hakuna wa kumthamini na kumheshimu hapa duniani zaidi ya mama yake kwani ndiye mtu pekee aliyempa faraja ya kweli katika maisha magumu aliyopitia. Akizungumza kwa uchungu Lulu alisema, mama yake pekee ndiye aliyemuona ana thamani wakati watu wengine wakimuona ni mchafu wa maneno na hafai kabisa […]

Read More..

Picha: Lulu Asifiwa ‘Mitupio’

Post Image

Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael’Lulu’ amemwagiwa sifa mtandao kuwa ni moja ya mastaa wanao penda mitindo ‘Fashion’ kitu ambacho kinamfanya kuonekana mrembo zaidi kile leo. Tofauti na mastaa wengi wakike wa hapa bongo Lulu kupitia ukurasa wake wa Instagram amekuwa akitupia picha akiwa amevalia mitindo mbalimbali ya mavazi na nywele. Lulu amekuwa […]

Read More..

Lazima Wawepo Wabaya wako Ili Uwajue Wazuri...

Post Image

Lazima Giza Liwepo Usiku na mwanga uwepo Mchana Ili tuweze kutofautisha Usiku Na Mchana Lazima wawepo Wanaokuchukia Ili uweze kuwajua wanaokupenda? Lazima Wawepo Wabaya wako Ili uwajue Wazuri wako….maana bila hao Wabaya hutoweza kutofautisha yupi ni yupi. Sio kwa watu tu hii ina apply kwenye vitu vingi tu tofauti..! Ili uweze kujua Positive Side ya […]

Read More..

Lulu Amponza Tekno! Comments za R.I.P Zajaa...

Post Image

Tukio la kifo cha marehemu Steven Kanumba linaendelea kumwandama aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth “Lulu” Michael, kutokana na baadhi ya Watanzania kuendeleza tabia isiyokubalika, ya kumkejeli mwanaume yeyote anayesemekana kuwa na uhusiano naye kuwa kifo kinamuita. Kitendo hicho kimejitokeza pia kwa muimbaji wa Nigeria, Tekno aliyedaiwa kuwa na uhusiano naye. Hata hivyo Lulu alikanusha na kudai […]

Read More..

Lulu: Tekno Alijigonga Kwangu

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameendelea kukanusha ‘ubuyu’ ulionea kuwa alivunja amri ya sita hotelini na msanii wa muziki wa Nigeria, Tekno Miles, akitoa maelezo yaliyotafsiriwa kuwa, kumbe mwanamuziki huyo ndiye aliyejigonga kwa mkali huyo wa sinema za Kibongo. Lulu alilazimika kukanusha habari hizo kufuatia kusambaa kwa picha zake na jamaa huyo ambaye […]

Read More..

Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo...

Post Image

Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya. Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram: Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na […]

Read More..

Lulu: Mnanipa Bichwa Mwenzenu

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies anayependwa na wengi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewapasha mashabiki wake mtandaoni kuwa wanavyozidi kumwagia misifa kwa urembo wake wanasababisha ajione kuwa yupo juu sana wakati yeye ni wakawaida. “Mnajua mkiniongelea Sana mnanipa Bichwa Mwenzenu????naanza kuona Kama bila mm vitu haviwezekani hivi???Msinifanyie hvyo…Najikuta MATAWI mwenzenu???wakati Sina lolote?”-Lulu

Read More..

Malaika: Nimechoka Kufananishwa na Lulu

Post Image

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha. “Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini […]

Read More..

Maneno ya Lulu kwa Mama Yake ni Fundisho To...

Post Image

Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi. The pic Says all…! Umenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu WA kweli uko vipi. Pale ambapo wote walikimbia,walikuwa kinyume Na Mimi Wewe Ndo ulisimama . Naweza kuandika maneno Milioni lkn kiukweli hakuna […]

Read More..

Ujumbe wa Lulu Tunapoelekea Kuumaliza Mwaka...

Post Image

Mwaka huu ulikuwa mzuri au mbaya Kwa kila mmoja wetu….Katika MAZURI SHUKURU Na hata katika MABAYA Na ya KUUMIZA pia MSHUKURU MUNGU. Tunapoelekea Kumaliza mwaka hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha ni jinsi gani Una thamani mbele ya Mungu wako wala hutakiwi Kuwaza nani anakuona nini. Nimejifunza na Ninaamini Kuna Nguvu,Msamaha,Kuongezwa,Kuzidishwa,Kuponywa na Mengine mengi […]

Read More..

Hivi Ndivyo Lulu Alivyosherekea Krismasi Ny...

Post Image

Staaa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ilimbidi afunge safari hadi mkoni Kilimanjaro kwenye kula siku kuu ya Krismasi mwaka huu. Akiwa yeye pamoja na wazazi wake wote wawili Lulu ameshare nasi picha hizi kupitia ukurasa wake mtandaoni. “Niko Na Baba Mkweeee?ooopssss I mean Baba Angu??hadi vidole sikuhizi havina mfupa”- Lulu aliandika kiutani kwenye […]

Read More..

Mama Atia Ngumu Lulu Kuondoka Nyumbani

Post Image

Marufuku! Mama mzazi wa staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametia ngumu mwanaye huyo kuondoka nyumbani kwake na kwenda kuishi peke yake kwa kuwa bado anahitaji zaidi kufuata maadili yake. Mama Lulu aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, hawezi kumruhusu Lulu kwenda kupanga na kuishi peke yake wakati bado ni mdogo na kwamba bado […]

Read More..