-->

VIDEO:Baraka The Prince na Najma Wafunguka Meingi kuhusu Penzi Lao

Msanii Baraka The Prince ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Acha niende’ amefunguka na kusema yeye ameridhika na Najma kwa kila kitu na kusema hawezi kuwa katika maisha ya mapenzi na mtu ambaye anakasoro.

Baraka The Prince alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo na kusema kwa Najma haoni kasoro yoyote ile na ndiyo maana aliamua kuwa naye kwani si utamaduni wake kuwa na mtu ambaye ana kasoro.

Mtazame hapa akifunguka mengi zaidi

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364