-->

Wema Aalikwa Kwenye 40 ya Prince Nillan Jumamosi

Kupitia kipindi cha LEO TENA kinachorushwa na CloudsFM Diamond Platnumz akiwa na mpenzi wake Zari, wamefunguka kumpa mwaliko staa wa bongo movie na mpenzi wa zamani wa Diamond,Wema Sepetu kwenye arobaini ya Mtoto wao Prince Nillan.

Zari na Diamond

“Namuomba Mungu Wema sepetu amalize tatizo lake salama na yeye tumemualika kwenye shughuli ya Prince NIllan Jumamosi, itakuwa ni siku ya kipekee kabisa kuanzia asubuhi na watakaofika ni wale wenye kadi za mialiko tu”-Diamond

Sherehe hiyo inatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Februari 11 mwaka huu huko kwenye ikulu ya Diamond na Zari iliyopo Madale.

Wema

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364