-->

Lulu Awataja Wasanii wa Tatu (3) Anaowakubali Kwenye Bongo Fleva

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva.

LULU32

Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “wasanii gani watatu anaowakubali kwenye Bongo Fleva?”

Lulu alijibu swali hilo kwa kuandika, “Beka, Maua Sama na Alikiba.”

lulu-1

Lulu aliongeza kwa kuzitaja nyimbo anazozikubali ni pamoja na ‘Ado Ado’ wa Mo Music, ‘Wale Wale’ wa Ruby, ‘Hapo’ wa Quick Rocka na ‘Asanteni Kwa Kuja’ wa Mwana FA.

lulu-2

Bongo5

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364