Artists News in Tanzania

Pichaz: Jennifer na Patrick wa Kanumba Walivyo Hivi Sasa

Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu ya Uncle JJ pamoja na This Is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba.

Jennifer ambaye mwaka 2014 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu aka Nisha, amehitimu kidato cha nne mwaka huu.

Kwa upande wa Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa habari nakudai hana mazuka wa kuigiza kwa sasa kama zamani. Angalia picha zao hapa.


Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version