Artists News in Tanzania

Video: Mtanzania wa Kwanza Kupata Shavu la Urais Kampuni ya Hollywood

Ernest Napoleon

Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon, amechukuliwa kusimamia kampuni ya kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais.

Bongo5

Comments

comments

Exit mobile version