Shilole Ataja Rasmi Siku ya Ndoa Yake
HATIMAYE mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameibuka na kutangaza rasmi tarehe ya ndoa yake na mchumba wake, Uchebe ikiwa ni baada ya mashabiki kusubiri kwa hamu. Akichonga na Mikito Nusunusu, Shilole alisema anatarajia kuolewa Desemba 20, mwaka huu na harusi yake itakuwa babu kubwa kwani amejipanga. Alipobanwa kuwa anaolewa kwa sababu amepewa ujauzito […]
Read More..





