-->

Category Archives: Artists News

Alichosema Jay Moe kuhusu kutofanya collabo...

Post Image

  Mashabiki wengi hujiuliza inakuaje kwenye upande wa Bongo Fleva mastaa wakongwe katika game hii wanashindwa kufanya collaboration wao kwa wao , ugumu unakuwa wapi?? Je ni kwamba ladha ya muziki itapungua kutokana na wao kuwa wakongwe katika muziki? Majibu yote anayo Jay Moe, alisema “Naona watu wanacho jaribu kukitafuta saivi ni kitu kipya , Solo nipo naye […]

Read More..

1

Khadija Kopa Afunguka Kutaka Kuolewa

Post Image

Malkia wa Mipasho nchini Tanzania asiyekuwa na mshindani, Khadija Kopa ametangaza rasmi kuhitaji mume wa kumuoa ili aweze kuishi naye huku akiweka vigezo vyake kuwa hataki aliyechini ya miaka 40 kwa madai hawezi kufundisha tution. Khadija Kopa ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI cha  EATV. “Sijaolewa ila sitaki kusomesha tuition, nataka […]

Read More..

DIAMOND PLATNUMZ: SIOGOPI Kwenda Jela Labda...

Post Image

EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK. Msanii Diamond aeleza kwanini alifanya performance kwa mara ya kwanza nje Nairobi,kenya. Diamond alieleza kuwa kwenye performance yake ilikuwa na changamoto nyingi na nchi […]

Read More..

Irene Uwoya ampa onyo Dogo Janja”Thubutu ...

Post Image

Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na taarifa kuwa msanii Dogo Janja ana mpango wa kuongeza mke wa pili baada ya kufunga ndoa na muigizaji Irene Uwoya ambapo ndoa hiyo ilifungwa mwaka jana 2017 ingawa mashabiki hadi sasa hawaamini kuhusu ndoa hiyo. Kupitia mtandao wa instagram wa Irene Uwoya ameonekana kupata taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa kwenye […]

Read More..

Matano (5) Usizozijua Kuhusu Baunsa wa Diam...

Post Image

SUALA ya ulinzi halina mjadala kwa watu maarufu kwani humuweka msanii kwenye nafasi nzuri zaidi ya usalama anapokuwa kwenye shughuli zake za kikazi. Ndiyo maana nyota wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amelitambua hilo na mara zote huwa anaambatana na baunsa wake, Mwarabu Fighter, ‘jitu’ la miraba minne lililojengeka misuli kwa ulinzi anapokuwa kwenye […]

Read More..

Msanii Radio afariki dunia

Post Image

Uganda. Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Moses Ssekibogo maarufu Radio amefariki dunia jana  alhamisi saa sita asubuhi. Mwandaaji wa matamasha, Balaam Barugahara alimthibitishia mwandishi wa Dailly Monitor kuwa msanii huyo alifariki wakati akiendelea na matibabu hospitalini. Msanii huyo ambaye alikuwa akifanya vizuri na mwenzie Weasel, tangu Januari 23 mwaka huu hali yake ilikuwa mbaya […]

Read More..

Monalisa Aliamsha Tuzo za Kimataifa

Post Image

MWIGIZAJI mwenye mvuto nchini, Yvonne Cherryl ‘Monalisa’, amechaguliwa katika kinyang’anyiro cha tuzo zinazojulikana kwa jina la The African Prestigious Awards akigombea kama mwigizaji Nyota wa Kike wa Mwaka. Washindi wa tuzo hizo hupatikana kwa kupigiwa kura na mashabiki na Monalisa amewaomba mashabiki wake kutomwangusha. “Ninawaomba mashabiki wangu wote kwa jumla kunipigia kura ili niweze kubeba […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Amenipotezea

Post Image

MCHEKESHAJI, Anna Exavery ‘Ebitoke’ amefunguka kuwa hajawahi kuachana na msanii, Ben Pol isipokuwa aliona jamaa kama amempotezea hivyo akaamua kujiweka kando.   Akizungumza na Full Shangwe, Ebitoke alisema hajawahi kuachana na Ben Pol ila alipoona yuko kimya na yeye akaamua kukomaa na mishe zake. “Hatujawahi kuachana na Ben Pol, niliona yuko kimya na mimi ikabidi nikomae […]

Read More..

Bongo Muvi Ubinafsi, Ujuaji na Kutekelezana

Post Image

KATIKA mtandao maarufu wa WhatsAap niko katika makundi mawili yanayohusu sanaa. Moja limejaa wasanii maarufu wa Bongo Muvi na lingine limejaa wasanii maarufu wa Bongo Fleva. Katika kundi la Bongo Fleva wasanii wanajadiliana, wanasifiana na wanahamasishana kufanya kazi nzuri. Kwao sio aibu msanii kusema tuige mfano wa msanii fulani ama sio hatari kusema Vanesa Mdee […]

Read More..

Sikutaka Hela ya Mtu – Wastara

Post Image

Msanii wa filamu wa bongo Wastara Juma ambaye hivi karibuni amepewa mchango wa milioni 15 na familia ya Rais Magufuli, amewajibu watu wanamtuhumu kuwa tapeli kwani hana ugonjwa unaomsumbua. Akizungumza na mwandishi wa EATV Wastara amesema kabla ya kuomba michango alijitahidi sana kujitafutia mwenyewe hiyo pesa kwani hakutaka pesa ya mtu mwengine ije imsaidie, kwani […]

Read More..

Vanessa mdee Auza Nakala 750 za CD ya Money...

Post Image

Msanii wa muziki Vanessa Mdee amesema ameuza nakala 750 za CD ya albamu yake ya Money Mondays, Mlimani City jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MCL Digital, Vanessa amesema nakala hizo aliziuza Jumamosi Januari 20,2018 siku ambayo pia alikutana na mashabiki wake. Amesema, “Nilipofikia ni msanii wa kimataifa, hivyo lazima nifanye mambo kuendana na wenzangu […]

Read More..

WEMA SEPETU: “Kiukweli wameniudhi sana kw...

Post Image

msanii nyota wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, amemlipua mke wa ‘Nabii Tito’ baada ya mwanamke huyo kumshawishi kupitia mitandaoni aolewe na nabii huyo. Chanzo chetu makini kilisema kuwa, msanii huyo amekasirishwa na kitendo cha mke huyo kumshawishi kuolewa na mumewe anayeitwa Onesmo Machija ‘Nabii Tito’ “Wema Sepetu nakupenda sana hata Nabii Tito anakupenda sana, […]

Read More..

Mchekeshaji Mboto: Kitu ambacho hawezi kusa...

Post Image

Mchekeshaji Mboto Haji ameamua kumshukuru kwa mara ya kwanza hadharani muigizaji Aunty Ezekiel ambaye alimuonyesha upendo wakati anaugua na alipolazwa hospitalini na shukrani hizo ameziandika kupitia ukurasa wake wa instagram. Mboto ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa instagram “Wewe ndo jembe langu, mchiz waaaaaangu, kuna kipindi nilisumbuliwa na tatizo la moyo uliacha ratiba zako […]

Read More..

Idris Sultan ashindwa kuvumilia mafanikio w...

Post Image

Idris Sultan ameonyesha kukerwa na baadhi ya Watanzania wanaopenda kupoteza muda mwingi katika mitandao ya kijamii kuliko kazi na kuuita ni “umbea” hii imekuja baada ya kuona mafanikio kutoka +254 Kenya baada ya movie ya “Watu Wote” kutajwa katika Tuzo za Oscar nchini Marekani na kutengeneza Satelite yao ya kwanza nchini humo., Kupitia ukurasa wa […]

Read More..

Maisha ni Kupambana- Alex Sanchez

Post Image

Kama ulikuwa hufahamu, haya ni machache kuhusu mchezaji  Alex Sanchez ambaye teyari ameshajiunga na Manchester United.       Alimuepusha mama yake na kifungo. Baba yake Sanchez aliachana na mama yake kabla ya yeye Sanchez kuzaliwa. Baada ya kuzaliwa na Ili kumlea mtoto wake mama yake aliaanza biashara ya kuuza samaki. Na akiwa na umri […]

Read More..

DIAMOND Platnumz akutana na wasanii wa Rwan...

Post Image

kutokea Bongoflevani Diamond Platnumz mwishoni mwa weekend hii alikuwa nchini Rwanda ambapo alienda kwenye mambo yake binafsi ikiwa ni pamoja na kutangaza bidhaa zake za Diamond Karanga na Chibu Perfume kisha kupata nafasi ya kukutana na wasanii wa nchi hiyo.. Diamond amepost picha kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na wasanii wa Rwanda wakipata Dinner […]

Read More..

Aunty Ezekiel :”Ila huku tunakoenda dah!

Post Image

Muigizaji kutoka Bongo Movie Aunty Ezekiel amechukua headlines  katika mitandao ya kijamii baada ya kupost caption ambayo imeacha maswali kwa baadhi ya mashabiki kupitia ukurasa wake wa instagram na wengi kutafsiri hueda akawa kwenye migogoro na baba mtoto wake Mose Iyobo. “Sina kawaida ya kuweka Maisha yangu kwenye Mitandao ila huku tunakoelekea ? Dah!wanaume!!!!?“ Aunt […]

Read More..

Ronaldo Apasuliwa Uso, Madrid Ikishinda 7-1

Post Image

LICHA ya ushindi wa bao 7-1 dhidi ya Derpotivo la Coruna walioupata Real Madrid katika La Liga, mshambuliaji wake, wa Kimataifa Raia wa Ureno, Cristiano Ronaldo alikutana na dhoruba baada ya kuumia kwa kupasuka usoni. Ronaldo aliumia kwa kuchanipa sehemu ya usoni baada ya kugongwa wakati akijaribu kufunga. Alikuwa ameruka kichwa kwa lengo la kufunga […]

Read More..