-->

Category Archives: BongoFleva

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini &...

Post Image

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

Read More..

1

VideoMPYA: Beka Flavour anakuletea hii nyin...

Post Image

Baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Beka Flavour kuachia ngoma yake yakibenten na kufanya vizuri this time anakusogezea nyingine ya kuitazama “Noana kiza”akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo. bofya PLAY kuitazama

Read More..

VideoMpya: Prof Jay ametuletea ‘PAGAMISA...

Post Image

Mbunge anaeongoza binadamu na wanyama Joseph Haule ambae ni Mbunge wa Mikumi wengi tunamfahamu kama Prof. Jay katuletea video ya wimbo wake wa ‘Pagamisa’ akiwa kamshirikisha Producer Mr T Touch.

Read More..

1

VideoMPYA: Dulla Makabila ana hii mpya “K...

Post Image

Mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila ambaye amefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Haujaulamba’ leo March 24 2018 ameamua kutoa video mpya kwa mashabiki wake, Dulla Makabila leo ameaachia rasmi video ya ‘Kuingizwa’ Bofya PLAY

Read More..

Ebitoke Afunguka Mapya Kuhusu Mahusianao ya...

Post Image

Msanii wa vichekesho bongo ambaye inasemekana yupo kwenye mahusiano na msanii Ben Pol, amesema kipindi mahusiano yao yalipoonekana yamekufa, ukweli ni kwamba penzi hilo halikufa isipokuwa Ben Pol alimtuliza ili asiyaweke sana kwenye mitandao. Akizungumza na mwandishi wa EATV.TV, Ebitoke amesema baada ya kulalamika kuwa Ben Pol hapokei simu zake na hamjali, Ben Pol alimuomba […]

Read More..

VideoMPYA: Abdu Kiba kaja na “Jeraha” k...

Post Image

Videos za nyimbo mpya zinazidi kuja kutoka kwa mastaa wa muziki na hii ni time ya kui-check “Jeraha” kutoka kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva Abdu Kiba akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo. Bofya “PLAY” kuitazama

Read More..

VIDEOMPYA: SELINE- CHAPALAPA

Post Image

Msanii Seline ambaye aliwai kuwa katika Label ya The Industry ila kwa sasa anasimamiwa na producer Monagenster, anatualika kuitazama video yake mpya, audio ikiwa imetayarishwa na Producer Abba na video ikiwa imeandaliwa na Director Joowzey location ikiwa ni Dar es Salaam.

Read More..

HABARI ZA MASTAA VideoMPYA: Msanii Timbulo ...

Post Image

Msanii wa Bongofleva Timbulo ametuletea video yake ya wimbo unaoitwa “Post” wimbo ambao Audio imetayarishwa na producer Mocco Genius, video imetayarishwa na Director Lucca Swahili, karibu kuitazama kwa kubonyeza PLAY hapa chini ..

Read More..

VIDEO MPYA VideoMPYA: Ni time ya kuitazama ...

Post Image

  Nazidi kukusogezea karibu ngoma mpya za kutazama  na time hii nakusogezea nyingine kutoka kwa staa wa muziki wa Bongo FlevaMaua Sama ambaye anakualika kuitazama“Nakuelewa” Bofya “PLAY” kuitazama

Read More..

Shilole na Uchebe wafunguka kuhusu ndoa kuv...

Post Image

Msanii wa muziki bongo ambaye kwa sasa mjasiriamali anayehakikisha matumbo ya watu yanapata afya, Shilole au Shishi Trump, hatimaye amefunguka kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na mume wake Uchebe. Akizungumza na mwandishi wa EATV Shilole amesema hajaachana na mume wake na wala hawafikirii kuachana. Kwa upande wa mume wake Shilole Bwana Uchebe amesema sio kweli […]

Read More..

VIDEOMPYA : Diamond platnumz akishirikishan...

Post Image

Leo tarehe 16 march,2018 msaani wa bongo, Diamond platnumz ameachilia nyimbo mpya akishirikishana na msaani wa marekani, Omarion. Ngoma hii inaitwa  “AFRICAN beauty”. Unaweza kuangalia video hii hapa bila shida yoyote Bofya hapa chini kutazama video hi

Read More..

VIDEOMPYA: Jux atuletea ngoma mpya “FIMBO”

Post Image

Tarehe 15 march,2018 Staa wa muziki wa R&B Juma Jux time hii anakusogezea video mpya ya kuitazama“Fimbo” akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo ili kuburudika. bofya “PLAY’ KUTAZAMA VIDEO HII.

Read More..

VideoMPYA: Rapper Rosa Ree katuletea “Mar...

Post Image

Rapper wa kike maarufu nchini Rosa Ree anakuletea ngoma yake mpya kabisa ijulikanayo kwa  jina la “Marathon” akiwa kamshirikisha Bill Nass.  Chini ni video ya wimbo wakwe mpya unakaribishwa kuitazama:      

Read More..

VIDEOMPYA: Dogo Janja- WAYU WAYU

Post Image

Muimbaji wa Bongofleva Dogo Janja baada ya jina lake kuchukua headlines , March 9 2018 baada ya kupost cover ya wimbo wake wa WAYU WAYU akiwa kavaa mavazi ya kike na amepaka lipstick, usiku wa March 9 2018 ameamua kuachia video hiyo rasmi.    

Read More..

Nyimbo nyingine zaidi kufungiwa

Post Image

Siku tano baada ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha kuchezwa kwa nyimbo 15 zisizokuwa na maadili, zikiwemo mbili za msanii Nassib Abdul maarufu Diamond, Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limesema hivi karibuni litatoa orodha ya nyimbo nyingine zitakazofungiwa. Akizungumza na MCL Digital leo Machi 5, 2018 katibu mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza, amesema […]

Read More..

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu atoa neno kw...

Post Image

Wasanii wa filamu nchini wametakiwa kuzingatia maadili na nidhamu ili waweze kufanikiwa katika kazi zao. Rai hiyo imetolea na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Joyce Fissoo alipokuwa akiwasilisha mada katika kikao kazi cha maafisa Utamaduni na wadau wa tasnia ya filamu wa mkoa wa Arusha iliyofanyika jana Jijini Arusha. Mama Fissoo alisema kuwa […]

Read More..

Snura aweka wazi mahusiano yake mapya

Post Image

Msanii wa bongo fleva, Snura Mushi maarufu kama Malkia wa uswazi amefunguka kwa mara nyingine na kudai yeye hana roho ya ubinafsi kama walivyo watu wengine kwenye kutoa msaada kwa watu ambao wanahitaji kufikia malengo yao waliyojiwekea. Snura ametoa msimamo wake huo katika ukurasa wake maalumu wa kijamii baada ya watu kuendelea kutoa maneno yao […]

Read More..

VideoMPYA: Ni time ya Nuh Mziwanda kwenye h...

Post Image

Leo February 24,2018 msanii kutokea kwenye Bongofleva Nuh Mziwandaanakusogezea video ya wimbo wake mpya wa “Upofu” ili kuutazama bonyeza PLAYhapa chini.

Read More..