-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Dogo Janja baada ya kuona “Nakupenda sema...

Post Image

Leo March 31,2018 kwenye upande wa entertainment story inayochukua headlines ni kuhusu wanandoa wawili muigizaji Irene Uwoya na Dogo Janja hii ni kutokana na comment ya Dogo Janja baada ya post ya Irene Uwoya kwenye instagram page yake. Irene Uwoya ameandika >>>“Nakupenda sema unakaujinga???” baada ya caption hiyo ya Irene Uwoya maswali mengi yalijitokeza kwa […]

Read More..

Esther Kiama yupo kwenye maombi mazito kusa...

Post Image

MDADA anayefanya kazi ya kuigiza kwenye filamu za Kibongo, Ester Kiama amesema kuwa sasa hivi yuko kwenye mfungo wa Kwaresima kwa ajili ya maombi maalum ya kutafuta mtoto wa kike. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Ester aliweka wazi kuwa, anatamani sana mtoto na kwa sababu tayari ana mtoto wa kiume, anahitaji kupata wa kike na ndio […]

Read More..

Haya ndio maamuzi aliyoyafanya Shilole

Post Image

Story inayo-trend kwenye mitandao ya kijamii ni hii baada ya Wema Sepetu ku-post picha ya ua rose jekundu  na kuwa tofauti na wengine hii ni kutokana na  wengi kuzoea kuona ua jeusi ku-trend na kutafsriwa kama ishara ya penzi kuvunjika. Ila kwa upande wa staa wa muziki Shilole “Shishi baby” ameamua kuja na maamuzi yake juu ya ua lake […]

Read More..

MSAANI MPYA : Rapa mkali anayekuja kwa kasi...

Post Image

Rapa mkali anayekuja kwa kasi Bongo aitwaye Orbit. Kwa sasa ana nyimbo mbili ambazo ni; MAKAVELI na BUKU KUWA LAKI. Nyimbo yake ya kwanza itwayo Makaveli ilitoka Augusti 13, 2016 ambayo inachukua dakika tatu na sekunde kumi , 3:10. Bofya “PLAY” kuisikiliza Nyimbo yake ya pili itwayo BUKU KUWA LAKI imetoka mwaka huu 2018 tarehe Feb 23, […]

Read More..

Vanessa Mdee Afunguka Kuvunjwa Moyo

Post Image

Malkia wa Bongo Fleva anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi, Vanessa Mdee amefunguka na kudai anamshukuru Mungu kwa kupokelewa vizuri albamu ya ‘Money Monday’ mpaka sasa japokuwa kuna baadhi ya watu wanataka kumvunja moyo. Vanessa amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) kutoka EATV baada ya kuulizwa swali na […]

Read More..

Mtoto wa Mwigizaji Ray na Chuchu Hans Apata...

Post Image

MTOTO wa Staa wa Filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, aitwaye Jaden Kigosi, amepata shavu kutoka kwa wazazi wake baada ya kumfungulia  akaunti ya ‘NMB Mtoto Akaunti’ kwa ajili ya akiba itakayoweza kumsaidia hapo baadaye. Akizungumza na waandishi wa habari  wakati wa kumfungulia akaunti hiyo, Makao Makuu ya Benki ya NMB, Posta jijini Dar, Ray alisema […]

Read More..

Kumbe Ndoa ya Mama Diamond Iko Hivi

Post Image

HABARI kubwa mjini ni Zari ‘Thebosslady’ kumbwaga baba watoto wake, Diamond Platinumz na umaarufu na mkwanja wake wote. Diamond a.k.a Chibu alimwagwa siku ya Wapendanao (Valentine Day), ambapo mengi yamezungumzwa mpaka sasa lakini, jamaa amepiga kimya tu. Baada ya Mwanaspoti kumsaka kwa muda na kupishana naye, limefanikiwa kumnasa mama yake Diamond, Sanura Kassim, ambaye ni […]

Read More..

Abdukiba amefunguka baada ya video yake na ...

Post Image

Mwanamziki wa bongo fleva kutokea king music, Abdukiba amekanusha vikali kutoka kimapenzi na mpenzi wa mwanamziki mwenzie Rayvanny aitwae Fayvanny. Mwanamziki wa bongo fleva Abdu kiba pia ni maarufu sana kwa sababu ya undugu alionao na staa wa bongo fleva Alikiba, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusiana na iliyomuonesha yeye na mke wake wa Rayvanny. […]

Read More..

Nay wa Mitego: Naangaikia Kuupeleka Mziki M...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego anayetamba na kibao chake kipya kilichopewa jina la ‘Mikono Juu’ amefunguka na kudai hawezi kujibishana na mtu yeyote kwa sasa kwani yeye anachokihangaikia ni kupeleka mbele muziki wake ili watu wake waweze kuupata. Nay ameeleza hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ‘PB’ inayorushwa na East Africa Radio na […]

Read More..

Habari za Mastaa Irene Uwoya awatolea uvivu...

Post Image

Kupitia kwenye ukurasa wa instagram wa muigizaji Irene Uwoya ameamua kuyaanika ya moyoni kuhusu wanawake ambao hawatoi ushirikiano kwa wanawake wenzao na hupenda kuona wenzao wakianguka au kufeli kimaisha ambapo hufurahishwa na jambo hilo. Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika “Hivi kwanin wanawake tunakuwa hatupendani???yani najiulizaga sana badala sisi tushirikiane ndo kwanza tunarudishana […]

Read More..

Shilole Afunguka Kuhusu Kupigana Na Mumewe ...

Post Image

Msanii wa muziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema hawezi kuthubutu kwa sasa kupigana na mume wake Uchebe kwani sasa amekuwa mtu mzima na mapenzi ya kupigana yalikuwa ya utoto. Shilole amebainisha hayo kupitia eNewz inayorushwa na EATV baada ya kuzoeleka na watu wengi kwa tabia yake ya kupiga wanaume ambao anakuwa nao Amefunguka na […]

Read More..

AUDIO MPYA: Rayvanny , Jason derulo na Fren...

Post Image

Moja kati ya stori zilizochukua headlines kwa mwaka 2017 ni pamoja na msanii kutokea WCB Rayvanny kutangaza kuwa ameshirikishwa katika ngoma moja na msanii kutokea pande za Marekani Jason Derulo. Usiku wa February 19 2018 audio ya ngoma hiyo imetoka rasmi ndani ya ngoma hiyo wakiwa wameshirikishwa Rayvanny wa WCB na mkali French Montana, goma yenyewe inaitwa Tip Toe Remix.

Read More..

Vanessa Mdee anaikubali couple ya P Diddy n...

Post Image

muziki Cassie kutokea Marekani inafahamika kuwa yupo katika uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake P Diddy ambao wamekuwa katika Uhusiano kwa kipindi kirefu hadi sasa. kupitia instagram account ya Cassie alipost video akiwa na P Diddy na kuandika caption nzuri kwaajili ya mpenzi wake P Diddy siku ya valentines February 14,2018 na kusema “Nawatakia siku ya wapendanao kutoka kwangu na mpenzi wangu” Katika comments msanii wa Bongo Fleva ameonekana kuikubali […]

Read More..

BreakingNews: Zari na Diamond wameachana!

Post Image

Zarinah Hassan anayejulikana kama “Zari the boss lady” ametangaza rasmi kuwa amemuacha msaani maarufu  Nasibu Abdul anayejulikana “Diamond platnumz”. Kwa kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano   MANENO ALIYOANDIKA ZARI KUPITIA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM   “Understand that this is […]

Read More..

Zari saa chache baada ya picha ya Hamisa na...

Post Image

Baada ya muimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kufikishana Mahakamani wiki iliyopita inadaiwa kuwa mambo yao yapo sawa kwa sasa na wamemaliza tofauti zao, hiyo ni baada ya kusambaa kwa picha za official videographer wa Diamond Platnumz ambaye ni Lukamba kusambaa kwa picha mtandaoni akiwa na Hamisa. Kitendo cha Lukamba kuonekana kumfanyia photoshoot Hamisa kimeanza kuhusishwa kuwa Diamond na Hamisa wapo sawa kwa sasa ndio maana Lukamba ameonekana […]

Read More..

AY kafunga ndoa ya siri Rwanda?

Post Image

February 11, 2018 nikusogezee stori ya Staa Mkongwe wa Bongofleva Ambwene Yesaya ambaye wengi tunamfahamu kama AY  hii stori inatokea nchini Rwanda February 10, 2018 zime-trend picha na habari katika mitandao ya kijamii kuwa staa huyo kafunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Remy. AY ameripotiwa kufunga ndoa nchini Rwanda ambapo ndio nyumbani kwa mchumba wake Remy, inaripotiwa kuwa harusi ya AY […]

Read More..

Taarifa kutoka Hospitali aliyopo Wastara ku...

Post Image

February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu. Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana […]

Read More..

VideoMpya: Ina Dakika 4 “Delailah” ya Q...

Post Image

  Mkongwe wa Bongofleva ametuletea  Video Mpya inayokwenda kwa jina la ‘Delailah’, Director wa Video ni Kilonzo. Bonyeza PLAY hapa chini kuitazama. Baada ya kumaliza kuitazama usisahau kuweka Comment yako ili Q Chief akipitia aweze kuisoma umeipokeaje video hii.

Read More..