-->

Category Archives: Other News

Maneno ya Irene Uwoya kwa Msami ‘Usi-forc...

Post Image

Leo March 20,2018 kwa upande wa burudani story ambayo na yenyewe inachukua headlines ni kutoka kwa mke wa msanii Dogo Janja, Irene Uwoya ambaye leo amechukua dakika zake kuandika Instargram ambapo amem-post staa wa muziki waBongo Fleva ambaye pia ni dancer Msami na kuandika caption ambayo imezua gumzo mtandaoni Irene Uwoya ameandika…. >>> Mchezaji muziki bora Afrika usi-force ndio kuwa hapana na tafadhali panic kwa hatari […]

Read More..

Vazi la wolper yaleta gumzo.

Post Image

Usiku wa Vikings uliofanyika King Solomon siku ya Jumamosi March 10,2018 mastaa mbalimbali walijitokeza kushuhudia kile ambacho Papii Kocha na baba yake Babu Seyawaliandaa  baada ya kutumikia miaka 13 jela. Ukiongelea aina ya nguo”Fashion” ambazo mastaa walivaa usiku wa Vikings basi hauwezi kuacha kumtaja muigizaji Jacquline Wolper ambaye nguo yake ilizua maneno mengi katika mitandao ya kijamii ambapo wengi walisema kuwa amevaa parachuti. Kupitia mtandao wa snapchat wa Jacquline […]

Read More..

Sugu, Masonga jela miezi mitano

Post Image

Mbeya. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewatia hatiani mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga na kuwahukumu kifungo cha miezi mitano jela. Hukumu hiyo imetolewa leo Februari 26,2018 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Michael Mteite. Sugu na Masonga wamehukumiwa kwa […]

Read More..

Multichoice imekuja na THE PUNGUZO- Miezi m...

Post Image

Punde tu baada ya kumaliza ofa mahsusi ya kufunga mwaka, MultiChoice Tanzania imetangaza neema kwa wateja wake wapya watakaojiunga kipindi hiki cha mwanzo wa mwaka ambapo watajipatia ofa ya kifurushi kwa muda wa miezi miwili bure! THE PUNGUZO- Ni Kwa shilingi 79,000 tu, mteja anapata vifaa vyote vya kujiunga na DStv ikiwemo Dish, Dikoda, Rimoti, […]

Read More..

BREAKING NEWS: NECTA Imetangaza Matokeo ya ...

Post Image

NECTA inatangaza kuwa matokeo ya kidato cha nne 2017/2018 yametoka. January 30 2018 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2017’ na matokeo ya mtihani wa maarifa (QT) 2017. Kwa urahisi unaweza kuyaona matokeo ya kidato cha nne kwenye link iliyoandikwa ‘CSEE 2017’ >>>CSEE 2017 Unaweza pia kuyatazama matokeo ya matokeo […]

Read More..

Diamond na Vanessa wamo kwenye shindano la ...

Post Image

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee waingia tena kwenye shindano la MSANII BORA WA MWAKA 2017 ( “AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR”).   Diamond Platnumz pamoja na Vanessa Mdee wamechaguliwa kwa mara nyingine tena kuwania tuzo za nchini Nigeria “Too Exclusive Awards 2017″ na wote wametajwa katika kipengele kimoja cha msanii bora wa mwaka ( AFRICAN ARTISTE OF […]

Read More..

Pretty Kind: “Sijahongwa elfu 20 kisa...

Post Image

Baada ya kufungiwa Miezi 6 kutoa nyimbo mpya, kutumbuiza na kujihusisha na muziki kivyovyote, leo January 24 , 2018 Msanii Pretty Kind amesema sio kweli kwamba amefulia mpaka amekua akihongwa Elfu 20. Pretty Kind alieleza kuwa washaabiki walichukulia vibaya alichosema kuhusu “WANANUME HAWAJUI KUHONGA”. Lakini aliomba msamaha kuhusu jambo hilo na pia kuahidi kubadilika. Alisema […]

Read More..

Nabii Tito Akamatwa

Post Image

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma, linamshikilia Onesmo Machibya maarufu Nabii Tito mwenye miaka 44 ambaye ni mkazi wa kijiji cha Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma, kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amesema Nabii Tito amekamatwa baada ya kurekodi vipande […]

Read More..

JUX amwaga mahela kwa Vanessa avunja record...

Post Image

January 20, 2018 Mwimbaji Staa wa kutoka Bongoflevani Vanessa Mdee amekutana na mashabiki wake  Mlimani City Dar es salaam na kuwauzia album yake mpya ya Money Mondays, JUX naye alikuwepo na alinunua CD 25. Jux amesema kuwa amenunua CD 25 nyingine atawapa mashabiki wake lakini pia amefanya hivyo kwa ajili ya kumsupport Vanessa Mdee, msikilize […]

Read More..

Alikiba Ashambuliwa na Mashabiki Kisa Lulu

Post Image

KATIKA kile kilichoonekana kwamba amemkumbuka aliyewahi kuwa mpenzi wake zamani ambaye kwa sasa anatumikia kifungo gerezani, Elizabeth Michael ‘Lulu’, staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba hivi karibuni alishindwakuficha hisia zake na kuweka picha ya mrembo huyo ambapo baadhi ya mashabiki walimshambulia huku wengine wakimpongeza. Kiba aliweka picha hiyo ya Lulu kwenye ukurasa wake wa Instagram […]

Read More..

Babu Seya na Papii Kocha rasmi waingia stud...

Post Image

Wasanii wa muziki wa dance nchini ambao wameachiwa hivi karibuni kutoka gerezani kwa msamaha wa Rais JPM, Babu Seya na Papii Kocha Leo January 5, 2017 wametembelea studio za Wanene ambapo walipelekwa na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Juliana Shonza. Wasanii hao baada ya kutembelea studio za Wanene walifanya mazungumzo na Uongozi wa […]

Read More..

Watengeneza kisiwa cha udongo ili wanywe po...

Post Image

Kutokana na marufuku dhidi ya unywaji pombe hadharani wakati wa sherehe za mwaka mpya nchini New Zealand kikundi kimoja cha watu kutoka eneo la kisiwa cha Coromandel nchini humo kimeshangaza watu baada ya kutengeneza kisiwa kidogo cha udongo kisiwani hapo ili wanywe pombe bila kukamatwa na polisi kwa kukiuka marufuku hiyo. Kwa mujibu wakazi hao, […]

Read More..

Dkt. Shika Afunguka Kuyatosa Matangazo, Ato...

Post Image

Dkt. Lous Shika amesema hivi sasa hataki kufanya matangazo ya biashara kama ilivyokuwa awali, akisema kwamba anahofia usalama wake. Akizungumza kwenye kipindi cha Weekend Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kwamba iwapo ataendelea kufanya dili za matangazo itakuwa rahisi kwa watu wanaomtafuta kujua yuko wapi. “Sina interest na haya matangazo tena kwa sababu […]

Read More..

Jengo la Studio za Clouds Media Group Linau...

Post Image

Dar es Salaam. Moto umezuka katika ofisi za Clouds Media Group na kusababisha Television na Radio Clouds kutokuwa hewani kwa muda. Moto huo ulianza saa 4 asubuhi katika chumba kimoja kwenye ghorofa ya kwanza uliosambaa kwenye jengo la kampuni hiyo. Hata hivyo hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana. Magari ya Zimamoto yapatayo manne yalifika […]

Read More..

GOD FATHER EA PRODUCERS SAT IN NAIROBI, KE

Post Image

The new “BigBrother version” reality show for East Africa known as God Father East Africa which shall be watched on your screens on either NTV Kenya or Citizen TV Kenya from the first quarters of 2018, producers held their second meeting yesterday in Nairobi, Kenya to pinpoint about the application process, applicant’s instructions and the […]

Read More..

Dr. Louis Shika asisitiza nia ya kuzinunua ...

‘Bilionea’ wa nyumba za Lugumi, Dk Louis Shika ameachiwa na kwenda kupanda daladala kuelekea nyumbani huku akisema mpango wake wa kununua nyumba za Lugumi uko palepale. Baada ya kuachiwa na polisi leo Jumanne jioni amesema kwamba bado mpango wake wa kununua nyumba hizo uko palepale. Amesema anachosubiri sasa ni fedha kuingizwa kwenye akaunti yake na […]

Read More..

Mawakili wa Lulu wajipanga kukata rufaa

Post Image

Dar es Salaam. Muda mfupi baada ya Mahakama Kuu kumuhukumu msanii wa fani ya uigizaji filamu nchini, Elizabeth Michael kifungo cha miaka miwili jela, msanii huyo alianza mapambano upya kuhakikisha anarejea tena uraiani kwa njia ya dhamana na rufaa. Jaji Sam Rumanyika alimhukumu adhabu hiyo msanii huyo baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua […]

Read More..

Waziri Mwakyembe Awamwangia Sifa Bongo Movi...

Post Image

WAZIRI wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amepongeza shirikisho la filamu na wadau wake kufuatia kufanikiwa kusajili mfuko wa filamu pamoja na mikakati ya muda mrefu na mifupi, akiongea na wajumbe wa Bodi ya Taff na wadau chini ya Bodi ya Filamu amesema kuwa amefarijika sana kupokea taarifa za Tasnia ya filamu. […]

Read More..