-->

Goodluck Gozbert: Natumia Muda Mwingi Kutafakari Mambo Makuu Ya Ufalme Wa Mungu Na Muziki Wangu

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gosbert amesema kuwa kwa sasa yupo singo na anatumia muda mwingi kutafakari mamb makuu ua Ufalme wa Mungu na muziki wake.

goodluck

Goodluck Gosbert

“Niko singo kwa sasa, lakini sio kwamba wasichana hawanisumbui napokea simu zao lakini kwa sasa sio wakati wakati wake, muda wangu mwingi nautumia kutafakari mambo makuu yanayohusu ufalme wa Mungu, na pia muziki wangu utakavyosogea, kwani dini yangu na imani yangu ukiona mtu ana mahusiano na mtu mmoja ina maana nafsi yake na kila alichonacho kimekubali huyo ndio sahihi kwake, kwa sasa sijampata mtu sahihi” Goodluck Gosbert

Cloudsfm.com

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364