-->

Picha: Shilole Ashikwa Kiuno na Mashabiki Stejini

Msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amewatoa udenda wakutosha mashabiki wa muziki wake hivi karibuni baada ya kuwapa nafasi ya kushika kiono chake.
prima
Shilole akiwa jukwaani

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.

Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha kufurahiwa na kitendo hicho.

Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.
ccc
Gaucho

Shisi
Shishi

Neno moja kwa Shilole.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364