-->

Tag Archives: MADAHA

Baby Madaha Aanguka Chooni, Avunjika Mguu

Post Image

MSANII wa filamu na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha hivi karibuni alipata majanga baada ya kuanguka chooni na kuvunjika mguu wa kulia, Amani lina taarifa zote. Tukio hilo lilitokea nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar ambapo staa huyo alitoka kwenye matembezi yake usiku wa manane akiwa amepiga ‘mtungi’ wa kutosha. Inadaiwa kuwa, alipofika kwake alihitaji kwenda […]

Read More..