-->

Tag Archives: STARA

Stara Thomas: Sikuamiani Jinsi Sugu Alivyoj...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki, Stara Thomas amedai kusikitishwa na kitendo alichofanyiwa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu cha kumpita bila kumsalimia alivyokutana naye bungeni Dodoma.   Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Ijumaa hii, Stara alisema hakutegemea kutokea kwa hali hiyo kwani yeye aliwahi kumsaidia Sugu katika kipindi […]

Read More..