-->

Tag Archives: ESHA

Kiapo Chamtesa Esha Buhet

Post Image

Kiapo cha kutochora tena michoro (tattoo) katika mwili wake, alichokitoa msanii wa filamu Bongo, Esha Buhet, kinamtesa baada ya kukikiuka kwa kujichora mkubwa zaidi ya hapo awali. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Esha alisema alikula kiapo cha kutojichora mwili wake, lakini amelazimika kukivunja baada ya kuamua kumuenzi mama yake mzazi. “Nimefanya hivyo kwa ajili ya mama yangu, nimeona sina sehemu ya kumuweka zaidi ya mgongoni kwangu tena kwa maandishi,” alisema Esha.

Read More..

Esha: Nikipata Tatizo Team Diamond Itahusik...

Post Image

Chokochoko! Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet amefunguka kuwa endapo atakumbwa na tatizo lolote basi timu ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Team Diamond itahusika. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esha alisema kuwa chokochoko zilianza alipoposti picha za Ali Kiba mtandaoni ambapo Team Diamond walianza kumtukana na kumwambia watamfanyia kitu mbaya. Chanzo: […]

Read More..