-->

VIDEO: Nimeanza Kusumbuliwa na Mabinti – Harmorapa

Rapa anayechipukia kwenye muziki wa hip hop, Harmorapa amefunguka na kusema toka amepata jina amekuwa akipata usumbufu sana kutoka kwa watu wake wa kawaida pamoja na mabinti.

Akiongea na EATV Harmorapa ameweka wazi kuwa sasa hivi amekuwa akipata usumbufu mkubwa kutoka kwa mabinti mbalimbali.

eatv.tv

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364