-->

Daily Archives: December 26, 2015

Kajala: Mwanangu Paula ni Mlevi wa Kuogelea

Post Image

Mtoto wa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Paula Paul anadaiwa kuwa mlevi wa kuogelea ambapo kila wikiendi amekuwa akimlazimisha mama yake ampeleke bichi. Mtu wa karibu wa Kajala aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini aliliambia Ijumaa kuwa, Paula amekuwa akimsumbua mama yake ampeleke bichi kila ifikapo mwisho wa wiki. “Yaani yule mtoto ni mlevi wa […]

Read More..