-->

Monthly Archives: January 2016

Dotnata, Pacha Wake Majanga

Post Image

Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ akiingizwa kwenye gari la wagonjwa. DAR ES SALAAM: Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ na pacha wake, Dometria Alphonce wapo hoi kufuatia mmoja kuanguka bafuni na kuvunjika mfupa wa mguu, mwingine kuvamiwa na majambazi. Chanzo makini kililiambia gazeti hili juzi kuwa, Dotnata aliteleza […]

Read More..

Filamu ya Kibonge Mtata Kutikisa Mtaa Jumat...

Post Image

KAMPUNI ya Splash Entertainment inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua jumatatu wiki ijayo tarehe 01.February .2016 ijulikana nayo kwa jina la Kibonge mtata kazi ambayo msemaji wa kampuni hiyo Steve Selengia anasema itakuwa mwanzo mzuri katika kufungua mwaka huu. “Tumejipanga katika kuhakikisha kuwa sinema yetu ya Kibonge Mtata inamfikia kila mdau wa kazi za […]

Read More..

Chopa la Doria Wanyamapori Latunguliwa, Rub...

Post Image

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akitembelea eneo la tukio.Hali ilivyokuwa eneo la tukio. Watu wanaodaiwa kuwa ni majangili na wawindaji haramu wameitungua kwa risasi helkopta ya doria ya wanyamapori katika pori la akiba la Maswa lililoko Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, Kusini mwa hifadhi ya taifa ya Serengeti na kumuua rubani wa […]

Read More..

Diamond Platnumz Kazinyakua Tuzo Nyingine K...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amezidi kuziandika headline katika ulimwengu wa sanaa baada ya usiku wa leo kuzinyakua tuzo mbili za Hipipo Awards zilizofanyika Uganda. Ushindi alioupata ni Nyimbo bora Afrika Mashariki na Video bora Afrika Mashariki ambazo zote ni kupitia wimbo wa Nana. Baada ya ushindi kupitia account yake ya Instagram Diamond aliandika […]

Read More..

Namshukuru Mungu kwa Mara ya Kwanza Nimepat...

Post Image

staa wa Bongo Movies na mkali wa ‘baby mama drama’ , Faiza Ally amemshukuru Mugu baada ya mashabiki wengi kumuandikia comment nzuri mtandaoni kwa posti yake akiwa amevalia ‘kidenti’ akiwa kwenye studio za EATV usiku wa jana tofauti na posti zake za nyuma. Nachukua nafasi hii kumshukuru M.Mungu mwingi wa rehma kwa kuwa naona kwa […]

Read More..

Tukumbuke Kuwa Haya Maisha Ya Duniani ni ya...

Post Image

Kutoka kwenye ukurasa wake mtandaoni,nyota wa bongo movies, Jacqueline Wolper ametukumbusha hili. Kuna wakati tunatatakiwa tujue na tukumbuke kuwa haya maisha ya duniani ni ya kupita kuanzia binadamu pamoja na vitu vya duniani. Binadam tunajisahau sana tunawaza kutafuta mapesa na magari ya kifahari na majumba ya kifahari lakini hatujipangi kutafuta maisha ya huko tuendako yani […]

Read More..

Dimpoz: Huu Ndio Mkakati Wangu Kwa 2016

Post Image

Msanii wa muziki Ommy Dimpoz, ameeleza kuwa wakati wasanii wengine wakiwa na mipango mbalimbali kuukabili mwaka 2016, kwa upande wake akiwa na timu nzito ya wasimamizi, amejipanga kuwa sasa ndiyo wakati wake kutoka na kolabo kubwa za kimataifa. Dimpoz amesema kuwa, kazi hiyo ambayo pia ni matunda ya usimamizi wake mpya itaanza kuonekana kupitia project […]

Read More..

Tungeulizwa Wananchi Kwanza Bunge Kuwa Live...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo kutoka katika kundi la Weusi, Niki wa pili amefunguka na kusema kuwa serikali kabla ya kufanya maamuzi ya kuzuia matangazo ya moja kwa moja ya bunge kurushwa kupitia Televisheni ya taifa walipaswa kwanza kuwauliza wananchi. Niki wa Pili amesema hayo kupitia Account yake ta Twitter baada ya serikali kuweka msimamo […]

Read More..

Wema Awekwa Chini ya Ulinzi

Post Image

Mama kijacho Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ kwa mara nyingine ametengeneza kichwa cha habari, safari hii amewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la kuendesha gari aina ya Range Rover Evogue bila kuwa na vibali, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Tukio hilo lililodumu kwa takriban saa tatu lilijiri Jumanne iliyopita maeneo ya Aficana, Mbezi Beach […]

Read More..

Siyo Lazima Sote Tubanane Dar –Vinego

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Baraka Selemani ‘Vinego dizaina’ amewashauri watayarishaji wa filamu kutoka mikoani wasikimbilie wote Dar es salaam kwa sababu ndio kwenye soko la filamu bali wajikite mikoani kama anavyofanya yeye kwani huko ndio kuna mazingira mazuri . “Mikoani kuna mazingira mazuri sana ya kutengenezea filamu kwani kuna uhalisia sana kuliko huku […]

Read More..

Eti Mimba ya Kajala Nayo Figisufigusi, Huo ...

Post Image

MOJA kati ya majina makubwa katika Bongo Muvi ni Kajala Masanja, ambaye kwa nyakati tofauti amebeba headlines katika vyombo vya habari. Ni muigizaji mzuri wa kiasi chake hasa kwa levo za wacheza filamu wa nyumbani, ingawa kwa mtu mwenye mzuka wa kufika mbali, anahitaji kujinoa zaidi ili kufanikiwa kuwa zaidi ya alivyo sasa. Kibongobongo, ni […]

Read More..

Kwa Wale Wanaopenda Kuigiza, JB Ametoa Naf...

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu nchini, Jerusalem Films, Jacob Stephen ‘JB’ ametagaza fursa hii kwa wanawake wenyevipaji vya kuigiza. Kwa wale wanaopenda kuigiza, niliahidi kuwapa nafasi waigizaji wapya, nafasi zilizipo. Script inahitaji watu wafuatao, wanawake 6…umri 26…33..wawe wanavutia sana, wawe na uwezo mkubwa wa kuigiza. Awe tayari […]

Read More..

Rose Ndauka Azindua Jarida Lake la ‘Rozzi...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka siku ya leo amezidua jarida lake linaloitwa Rozzie ambalo awali lili kuwa kwenye mfumo wa kidigitali. Kupitia ukurasa wake mtandaoni Rose ameeleza; Namshukuru Mungu kwa yote, ilikua ndoto yangu kubwa kuileta Rozzie Magazine iwe kwenye Hard Copy baada ya kuwa online kwa muda mrefu, Leo hii nimezindua Rozzie […]

Read More..

Wema na Idris Wafunguka Yote Usioyajua Kuhu...

Post Image

Usiku wa jana Mastaa Wema Sepetu na Idris Sultan walidhibitisha kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Ala Za Roho na mtangazaji Diva Loveness kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wana tarajia kupata mtoto wao wa kwanza. ‘’Unajua kuna kipindi nilikuwa siamini nikawa namtuma mdogo wangu akaninunulie ‘pregnancy test’nyingi ili niwe na’test’ kila siku,nilikuwa […]

Read More..

Nyamayao Aibuka, Afafanua Kuhusu Kaole, 201...

Post Image

Nyota wa filamu Nyamayao kutoka kundi kongwe la Kaole ambalo limetengeneza misingi kwa waigizaji wengi maarufu wa sasa, ameweka wazi kuwa kundi hilo bado lipo. Amesema kundi hilo bado lipo hai ingawa kwa sasa wanaendesha shughuli zao pembeni kama kundi la Kaone, akiwa pia anajipanga kutoka na tamthilia mpya ya muendelezo ambayo taarifa zake zaidi […]

Read More..

BASATA Yakanusha Kuifungia “Zari All Whit...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekanusha taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa limelifungia onesho la mpenzi wake Diamond, Zari, ‘Zari White Party’. Moja kati ya mitandao iliyoandika story hiyo ni Jamii Forums, ambapo walidai BASATA imelifungua onesho hilo kufanyika hapa nchini. Kupitia ukurasa wa Twitter, BASATA limekanusha taarifa hizo huku likiwataka wananchi kupuuza […]

Read More..

Pacha wa Kanumba Adaiwa Kuwa Mhamiaji Haram...

Post Image

Mkali wa filamu Bongo, Rammy Gallis ‘Pacha wa Kanumba ’ anadaiwa kuishi nchini bila vibali maalum, jambo linalomuweka hatarini muda wowote kuweza kutimuliwa Bongo kutokana na tumbuatumbua ya Serikali ya Rais John Pombe Magufuli inayoendelea. Kwa mujibu wa chanzo, kuna hatihati kubwa ya msanii huyo ambaye wengi wamezoea kumuita Msomalia kufungashiwa virago kwani hana uhalali […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..