-->

Daily Archives: April 3, 2016

Raila Odinga Amtembelea Rais Magufuli Nyumb...

Post Image

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Raila Amoro Odinga amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyopo mapumzikoni katika Kijiji cha Kilimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita. Mheshimiwa Odinga ambaye ameongozana na mkewe Mama Ida Odinga na Binti yake Winnie Raila Odinga, wametua kwa Helkopta katika uwanja wa […]

Read More..

Juma Nature Ndiye Alikuwa Mkubwa Wanaume Fa...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava nchini Chege Chigunda amesema msanii mwezake Juma Nature ndiye msanii alikuwa mkubwa kuliko yeye na wenzake katika kundi la Wanaume Family na kuwafanya watambulike kwenye ramani ya muziki. Chege ameonyesha wazi kumkubali Juma Nature alipokuwa akizungumza katika kipindi cha MKASI kinachorushwa kila siku ya Jumatatu na kituo cha EATV. Msanii Chege […]

Read More..

Jide: Sijampiga Kijembe Gardner

Post Image

MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe  aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani. Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi […]

Read More..

Steve Amtwisha Jukumu la Filamu Makonda

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na kufanya vizuri. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kila anapofikiria masuala ya filamu jambo hilo huwa linazidi kumnyima raha na kumtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar […]

Read More..

Afande Sele Aelezea Kwanini Akifa Anataka M...

Post Image

‘Hii ni imani ambayo nimeifikiria muda mrefu na nikajua lazima niifate, kila mtu ana kitu ambacho anakiamini na kwangu naamini moto ndio kila kitu kwenye maisha, kama maandiko yanavyosema Mungu ni moto ulao… naamini moto ndio mfumo ambao hata Mungu anatokana na moto wenyewe‘ – Afande Sele Kwenye sentensi ya pili Afande amesema ‘wakisema Mungu […]

Read More..