-->

Daily Archives: April 26, 2016

Masoud Kipanya Arejea Rasmi Clouds FM

Post Image

Mtangazaji Masoud Kipanya Jumatano hii April 27 2016 atasikika tena kama mfanya kazi wa CloudsFM atasikika kwa mara nyingine tena Masoud ambaye alipata umaarufu sana kupitia vipindi mbalimbali vya CloudsFM toka kitambo hicho. CMG (Clouds Media Group) wamethibitisha hilo kupitia page ya Instagram kwamba Mtangazaji Masoud Kipanya anarejea kufanya kazi na atasikika kwenye show ileile […]

Read More..

Mr. Blue Amshushia Lawama Sugu, Kisa Wimbo

Post Image

Msanii Mr. Blue amelalamikia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi au Mr. Sugu, kwa kuchukua wimbo aliomshirikisha na kuufanya wake bila ridhaa yake. Kwenye ukurasa wake wa instagram Mr. Blue ameandika ujumbe huku akiomba mashabiki wake wamshauri nini afanye, kwani Mr. Sugu anamheshimu kama kaka yake. “Ndugu […]

Read More..