Ukweli Kuhusu Ndoa ya Uwoya, Dogo Janja
SASA ni wazi kuwa sanaa yetu hapa Bongo haiwezi kwenda bila kiki. Ni kiki kila kukicha. Lesso utasikia msanii huyu kafanya vile, kesho mwingine ameibuka na lake. Ni kama wanashindana. Imeonekana kama kazi kutolewa bila kianzio cha kiki huenda isiwe na matokeo mazuri sokoni. Hata hivyo kwa upande wangu, napingana na hilo. Naamini katika kazi […]
Read More..





