-->

Daily Archives: November 8, 2017

Kisa cha Koletha Kumwacha Mwanaye

Post Image

STAA wa filamu aliyeshinda shindano la kusaka vipaji vya sauti lililoendeshwa na Kampuni ya Star Times, Koletha Raymond atamuacha mwanaye aliyejifungua hivi karibuni mwenye umri wa miezi nane kufuatia kupata kazi nchini China. Akipiga stori na Za Motomoto News, Koletha ambaye alishika namba moja kwenye shindano hilo alisema baada ya kushinda pamoja na wengine wana […]

Read More..

Queen Darleen Afichua Kinachoibeba WCB

Post Image

MWANADADA pekee kutoka kundi la WCB, Mwajuma Abdul ‘Queen Darling’, amesema kundi hilo limekuwa likifanya vizuri kutokana na umoja na nidhamu waliyojiwekea. Akizungumza na MTANZANIA, Queen Darling ambaye ni dada wa kiongozi wa lebo hiyo ya Diamond Plutnumz, amesema wasanii wa kundi hilo kila mtu anaelewa dhumuni la kuwepo hapo na ndio maana hawajawahi kutetereka […]

Read More..