-->

Daily Archives: November 23, 2017

Johari: Ndiku Alitupa Raha

Post Image

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amemfungukia aliyekuwa mume wa muigizaji Irene Uwoya, marehemu Hamad Ndikumana kuwa enzi za uhai wake, aliwapa bata za kutosha.   Akizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni, mkongwe huyo wa sinema za Kibongo, alisema Ndiku alipokuwa anakuja nchini akitokea nchini Cyprus alikokuwa akiishi, alikuwa akiwaletea zawadi na kujirusha naye sana. “Kama unavyojua mimi […]

Read More..

Huyu Ndiye Gigy Money Mpya

Post Image

ALITOKA kwa staili ya peke yake. Akapewa majina yote. Pengine majina hayo alistahili kwa namna alivyojiweka na kujitangaza mbele ya jamii. Isingekuwa rahisi kumtabiria makubwa, ungeweza kuishia kusema ni msichana wa mjini, mwenye mambo mengi yasiyo na staha. Asiye na uoga mbele ya jamii ya wastaarabu. Wakati anaanza kujulikana kwenye ulimwengu wa burudani, alifahamika kama […]

Read More..