-->

Davina Alia Kupoteza Jembe

Halima Yahaya ‘Davina’, staa wa sinema za Kibongo ambaye mwanzoni mwa wiki hii alimpoteza baba yake mzazi, mzee Yahaya, amesema daima atamlilia marehemu baba yake kwani alikuwa ni kiungo muhimu sana katika maisha yake yaliyobaki.

DAVINA32

Halima Yahaya ‘Davina’

Akizungumza na gazeti hili, Davina alisema kumpoteza baba yake huyo amekuwa na maumivu makali ambayo siyo rahisi kumueleza kila mtu jinsi anavyojisikia hivyo kilichobaki kwake ni kumuomba Mungu ampe ujasiri.

“Nakuambia nimepoteza jembe maishani mwangu, najua nitaendelea kulia siku zote maana sijui machozi yangu yatakauka lini, kwa kweli roho inauma mno,” alisema Davina.

Chanzo:GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364