-->

Inside Story: Zimebaki Siku Chache Kuingia Sokoni

Fiamu ya kubwa ya Inside Story itaonyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye ukumbi wa  CINEPLEX CINEMA, QUALITY CENTER siku ya ijumaa tarehe 19 mwezi huu.

INSIDE STORY

Fiamu ya INSIDE STORY imechezwa na mastaa wakubwa wa kimaifa kama Hakeem Kae-Kazim  na Fana Mokoena waliocheza kwenye filamu ya  Hotel Rwanda.

rwanda32

Hakeem Kae-Kazim

RWANDA89

Hakeem Kae-Kazim na Don Cheadle wakiwa kwenye Hotel Rwanda

picha

Fana Mokoena

randao0

Fana Mokoena Akiwa Kwenye Hotel Rwanda

Inside Story itasambazwa na Steps Entertainment, Kaa mkao wa kula.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364