-->

Kajala Ashtukia Uwekezaji

KAJALA Masanja amewasihi mastaa wenzake wajifunze kuwekeza hela wanazopata kwa kuwa kuna kipindi kitafika ustaa utaisha na kutakuwa hakuna kitu kingine cha kuwaingizia kipato.

KAJALA7899

Kajala ambaye analitendea haki soko la filamu Bongo, alisema
kila mtu atumie wakati wake sasa,” alisema Kajala. amepata wazo hilo hivyo ameona ni vyema akawatonya na wenzake maana amewaona watu wengi waliokuwa na fedha za kumwaga lakini leo hii wapo kwenye maisha magumu hivyo hata yeye amejifunza.

“Kwa kweli nimejifunza sisi mastaa tujaribu kuweka hata akiba fedha zetu tunazozipata kwa kipindi hiki ambacho tunaweza kupata kwa urahisi ili baadaye tusije kujuta maana majuto ni mjukuu.

Chanzo: GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364