-->

King Majuto: Baada ya Ramadhani Anakuja Nahii

MSANII mkali wa filamu, maigizo na vichekesho nchini, Amri Athuman maarufu King Majuto, anatarajia kutambulisha filamu yake mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Uganga Basi’.

Mzee majuto

King Majuto

Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na filamu yake mpya inayoitwa ‘Kirungu’ aliyomshirikisha mchekeshaji mahiri na mkongwe katika vichekesho, Brother K, alisema filamu hiyo itatoka Julai mwaka huu.

Majuto aliliambia MTANZANIA kwamba filamu hiyo ina mafunzo ya kutosha huku akiamini itatoa mafunzo mengi kuhusiana na uganga unaotumikiwa na wengi na kusahau mambo mengine ya maendeleo,” alisema.

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364