-->

Koleta, Lungi Watikisa Ndoa ya Mbunge Mhongaji

LUNGI-1

DAR ES SALAAM: Ubuyu! Wasanii wawili wa Bongo Muvi, Coletha Raymond ‘Koleta’ na Lungi Maulanga wanadaiwa kutikisa ndoa ya mbunge machachari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (jina tunalo) anayesemekana kuwa ni mhongaji mzuri.

Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, gazeti hili liliwatafuta watuhumiwa hao ambapo kwa upande wake Lungi (pichani) alikiri ‘kujuana’ na mbunge huyo lakini akadai ilikuwa zamani kwa sasa yupo mbali naye huku simu ya Koleta ikiita bila kupokelewa.

Kwa upande wake mbunge huyo aliishia kujitetea akidai kwa sasa ndoa yake imetimiza miaka 20.

Chanzo: GPL

Comments

comments

Post Tagged with ,

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364