-->

Lulu Diva Amfungukia Barnaba

ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu msanii wa Bongo Fleva, Barnabas Elius kudaiwa kutengana na mzazi mwenziye, msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia kuwa, ishu hiyo alipoisikia ilimshtua sana.

Lulu Abbas

Akichonga machache na Over Ze Weekend, Lulu Diva anayetamba kwa sasa na Ngoma ya Usimwache iliyofanyika MJ Records chini ya Daxo Chali alisema, amekuwa na Barnaba kwa ukaribu kwa muda mrefu na taarifa za kuachana na mzazi mwenziye huyo zilimshtua.

“Ishu hii nilivyoisikia nilimpigia na kumuuliza; braza vipi tena mbona mitandaoni unachafuka sana, akasema waache tu waongee wataacha wenyewe,” alisema Lulu. Hivi karibuni, taarifa na picha zilizagaa mitandaoni kuwa, Barnaba ameachana na mzazi mwenziye chanzo kikiwa ni kufumania picha

Barnaba akiwa na Lulu Diva

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364