-->

Mashabiki Wamchana Raymond

Msanii Raymond ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Natafuta kiki’ amewachefua baadhi ya mashabiki zake kwa kubadili muonekano wake baada ya kusuka rasta katika kichwa chake kitu ambacho kinaonesha kuwakera baadhi ya mashabiki wake.

RAYMOND WASAFI

Msanii Raymond kutoka WCB Wasafi akiwa katika studio za Wasafi

Raymond alipotupia picha ya muonekano wake mpya kwenye kurasa zake za mitandao ya jamii, mashabiki zake wakaanza kumshauri kuwa ni bora arudi kwenye muonekano wake wa awali na kusema kuwa huu muonekano mpya haujampendezana kusema hauendani kabisa na muonekano wake.

Tazama baadhi ya maoni ya mashabiki wa Raymond katika baadhi ya post zake mbalimbali ambazo zilihusisha huo muonekano wake mpya.

RAYMOND22

eatv.tv

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364