-->

Mastaa Bongo Fleva Wanavyochuana kwa Mikoko!

WASANII wa Marekani walitangulia kwa muda mrefu kabla wasanii wetu wa Bongo Fleva hawajaanza kuimba. Pamoja na majumba ya kifahari, kumiliki biashara mbalimbali, miongoni mwa mambo ambayo waliyafanya baada ya kufanikiwa kimuziki ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari.

Kibongobongo pia, wasanii wetu nao hawapo nyuma. Baada ya kuanza kupata mafanikio, wapo wasanii walioonesha heshima kwa kununua magari ambayo kwa levo yao tunaweza kuyaita ya kifahari.

Ifuatayo ni orodha ya magari wanayoyamiliki baadhi ya mastaa wa Bongo Fleva yakiwa na makisio ya gharama za kila gari husika:

gari-la-madee

MADEE: Toyota Harrier Lexus (Sh. Mil 25-30)

gari-la-dimpoz

DIMPOZ: Toyota Prado Short Chassis (Sh. Mil 30-35)

img_0090

DIAMOND: BMW X6 (Sh. Mil. 100-140)

mark-x-ya-mwanafa

MWANAFA: Toyota Mark X (Sh. Mil 18-20)

gari-la-ay

AY: Range Rover (Sh. Mil. 100- 140)

gari-kama-la-jide

JIDE: Range Rover Evog (Sh. Mil.100-130)

jux

JUX: Nissan FUGA (Sh. Mil.20-25)

gari-la-nay

NAY WA MITEGO: Toyota Prado (Sh. Mil. 35-40)

quick-rockaaaa

QUICK ROCKA: MERCEDES BENZ (Sh. Mil. 18-20)

 

 

 

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364