-->

Picha: Zari na Diamond Wapata Mtoto wa Kiume

Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.

zari002

Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka sura yake na bado hawajasema wamemwita jina gani.

zariii

“???? thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok?,” ameandika Zari.

Naye Diamond ameandika:

diamondiiii22

Tunawapongeza Diamond na Zari kwa kujaaliwa kupata mtoto wa kiume.

 

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364