-->

SHAMSA Ford Afunguka Kuhusu ndoa yake..Adai Hakuna Ufundi Wala Ustaa

MSANII mwenye uwezo mkubwa anapokuwa mbele ya kamera Shamsa Ford, amefunguka kuwa kama angeamua kufuata mambo ya mjini na kujivika ustaa mwingi kama wafanyavyo wengine ingewezekana mpaka leo hii ndoa yake isingekuwepo kabisa.

Akizungumza na gazeti hili Shamsa, alisema kuwa ameamua kujishusha kabisa kwasababu anaamini kwenye ndoa hakuna ufundi wala ustaa wowote zaidi ya kujiheshimu na kutambua kuwa unapopewa heshima ya kuwa mke na wewe lazima uibebe ipasavyo.

“Siwezi kufanya ujinga wa kuichezea ndoa yangu kabisa kwani ndoa ni kitu adimu mno hivyo unapoipata lazima uilinde na kama ustaa uuache mlangoni unapoingia nyumbani la sivyo itakuwa ni shida na ndoa haiwezi kudumu,” alisema Shamsa.

Comments

comments

Post Tagged with

Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364