-->

Stanbakora Afunguka Kuoa Mwarabu

MKALI wa vichekesho nchini, Stanley Yusuph ‘Stanbakora’, ameweka wazi kwamba mwakani ndiyo ataoa tena mwanamke mwenye asili ya Kiasia.

stan bakora

Stanley Yusuph ‘Stanbakora

Alilifafanulia MTANZANIA kwamba chaguo lake kwa wanawake ni wenye asili hiyo hasa kutoka Uarabuni na awe mcha Mungu.

“Sina mpango na wanawake wa Afrika, napenda mke na mama wa watoto wangu awe mwanamke Mwarabu na anayejua dini,” alisema Stan Bakora.

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364