-->

Sumaku: Sijamuona wa Kuvaa Viatu vya Kinyambe

KIONGOZI wa Wasanii wa Vichekesho Tanzania, Habib Mkamba ‘Sumaku’ amesema kwamba kifo cha msanii mwenzao, James Peter ‘Kinyambe’ kilichotokea hivi karibuni, hakuna wa kuliziba pengo lake.

Sumaku1

Akipiga stori na Ijumaa, Sumaku alisema Kinyambe alikuwa na staili yake ya kipekee katika uchekeshaji hivyo hakuna msanii anayeweza kuvaa viatu vyake.

“Mimi sijaona wa kuvaa viatu vya Kinyambe, pengo lake itakuwa vigumu kuzibika maana yule alikuwa na kastaili kake f’lani ka’ kuchekesha, ndiyo hivyo tena Mungu kamchukua,” alisema Sumaku.

Chanzo: GPL

Comments

comments


Unataka kutangaza nasi? Tumia namba ya simu hapo chini.

Please contact us: email : info@bongomovies.com or Mobile: +255 756 348 364