-->

Tag Archives: barnaba

Barnaba: Bado nampenda mke wangu

Post Image

KUNA wasanii na wanamuziki. Wasanii ni wale ambao wanaweza kuifanya kazi yao kuwa sanaa na kuwapatia fedha. Kwenye kuimba wanaweza kuwa siyo wazuri sana. Wanamuziki ni wale wanaojua kuimba. Wanafahamu ala za muziki, wanatengeneza mahadhi ya muziki wenyewe na kuimba kwa mvuto wa kipekee. Kwa wale wa Bongo Fleva, kuna mtu anaitwa Barnaba. Huyu ni […]

Read More..