-->

Tag Archives: DKCHENI

Serikali Hii ya Dk Magufuli Tutafanikiwa -D...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Dkt Cheni amesema ana imani kubwa sana na serikali ya Rais Dkt John Magufuli kwamba itawasaidia wasanii katika kuondoa tatizo sugu la kuibiwa kwa kazi zao na kuuzwa kwa bei ya chini. Cheni ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku jumatatu […]

Read More..