-->

Tag Archives: DULLY

Dully Sykes Amgaragaza T.I.D

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini Abdul Sykes ‘Dully Sykes’, amemgaragaza Khalid Mohamed ‘T.I.D’ kwa idadi kubwa ya mashabiki wa muziki wao. Wasanii hao walishindanishwa katika kituo cha radio One ambapo walikuwa wanawashindanisha kwa ubora wa nyimbo zao huku mashabiki wa muziki huo wakipiga kura kumchagua mkali zaidi. Dully alifanikiwa kuibuka kidedea kwa kumzidi […]

Read More..