-->

Tag Archives: MUHOGOMCHUNGU

Mpoto, Muhogo Mchungu Wahimiza Usomaji wa V...

Post Image

WASANII wa fani mbalimbali wametoa wito kwa wananchi na wanafunzi kuwa na desturi ya kujisomea vitabu vya lugha ya Kiswahili ambavyo vitawasaidia kukuza lugha hiyo. Akizungumza jana katika uzinduzi wa kitabu cha fasihi cha ‘Mwele bin taabani’, kilichoandikwa na aliyekuwa Mbunge wa Mchinga, Mudhihir Mudhihir, msanii Mrisho Mpoto alisema kuwa kama Watanzania wanahitaji lugha hiyo […]

Read More..