-->

Tag Archives: MZEEYUSUPH

Sitaki Kusikia Siasa Tena- Mzee Yusuf

Post Image

Mzee Yusuf mwaka jana alikuwa na nia ya kugombea ubunge kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo la Fuweni Zanzibar lakini baadaye alipigwa chini kwenye kura za maoni na badala yake alikuwa akionekana kwenye kampeni za chama hicho akitoa burudani kama ambavyo wasanii wengine walikuwa wakifanya. “Sahizi nasema ukweli kabisa sitaki kusikia kitu kinaitwa […]

Read More..

Kutokana na Malumbano Yao Mitandaoni, Mzee ...

Post Image

Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Mzee Yusuf,kumekuwa na malumbano ya mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii kati ya wake zake wawili Leila na Chiku,Mzee Yusuf amesema hafurahishi na malumbano hayo… ‘’Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu kuwaaambia sijui hawa wake zangu wananionaje ,pengine hawajui kuwa mimi ni mume wao hawanipi heshima yangu na hasa […]

Read More..